Habari wakuu nadhani baadhi yetu tunaijua ogwhatsapp kam mbadala wa kutuwezesha kutumia namba mbili kwenye simu moja...
Naona toka majuzi imekua ikitoa notifications za ita expire baada ya siku 3 na jana ndio ime expire mazima na hamna update yoyote ile, ndio kusema developer ameisusa au?
Je kuna mbadala wake wakuu?
UPDATE:
Atimaye imepatikana version ile ile ya OGWhatsapp ambayo inafanya kazi imeondolewa Update check, na imefanyiwa marekebisho kidogo kama inavyoonekana kwenye Screen shots... Ipakue hapa na ulete mrejesho ukifanikiwa https://www.dropbox.com/s/rt7yp7pfvb...tsapp.apk?dl=0
Naona toka majuzi imekua ikitoa notifications za ita expire baada ya siku 3 na jana ndio ime expire mazima na hamna update yoyote ile, ndio kusema developer ameisusa au?
Je kuna mbadala wake wakuu?
UPDATE:
Atimaye imepatikana version ile ile ya OGWhatsapp ambayo inafanya kazi imeondolewa Update check, na imefanyiwa marekebisho kidogo kama inavyoonekana kwenye Screen shots... Ipakue hapa na ulete mrejesho ukifanikiwa https://www.dropbox.com/s/rt7yp7pfvb...tsapp.apk?dl=0