jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Ndugu ..
Bila ya kupepesa macho
Taka usitake kuitwa "dady" na mwanamke wako ni ishara mbaya sana na ni dalili za wazi kuwa wewe siyo mpenzi wake au mume wake, bali wewe ni baba yake.
Sasa nyie endeleeni kuwazoesha wanawake zenu kuwaita "dady" huku mkizania ni sifa, kuvimba na kujiona mnajua kucare sana mtakuja kuachwa pabaya sana vijana
Ukweli ni kwamba ukiona mwanamke amevuka mipaka na kukuita dady fahamu kwamba unafuja mali nyingi sana kwake kiasi kwamba moyo wake na hisia zake zimehama kutoka mpenzi / mume mpaka zikakuona wewe ni baba yake mzazi, hivyo huna sifa zakuwa mwanaume (mume) wake.
Atakuita dady na chiu atakupa na utafanya kila kitu ila amini na kuambieni vijana utapigwa na kitu kizito mfano wa kisicho bebeka wewe endelea tuu kukaza fuvu.
Nb. Mwanaume wa kweli hawezi kukubali mwanamke wake akamuita dady, mwanamke akisha kuita "dady" piga chini
Bila ya kupepesa macho
Taka usitake kuitwa "dady" na mwanamke wako ni ishara mbaya sana na ni dalili za wazi kuwa wewe siyo mpenzi wake au mume wake, bali wewe ni baba yake.
Sasa nyie endeleeni kuwazoesha wanawake zenu kuwaita "dady" huku mkizania ni sifa, kuvimba na kujiona mnajua kucare sana mtakuja kuachwa pabaya sana vijana
Ukweli ni kwamba ukiona mwanamke amevuka mipaka na kukuita dady fahamu kwamba unafuja mali nyingi sana kwake kiasi kwamba moyo wake na hisia zake zimehama kutoka mpenzi / mume mpaka zikakuona wewe ni baba yake mzazi, hivyo huna sifa zakuwa mwanaume (mume) wake.
Atakuita dady na chiu atakupa na utafanya kila kitu ila amini na kuambieni vijana utapigwa na kitu kizito mfano wa kisicho bebeka wewe endelea tuu kukaza fuvu.
Nb. Mwanaume wa kweli hawezi kukubali mwanamke wake akamuita dady, mwanamke akisha kuita "dady" piga chini