Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,122
- Thread starter
- #21
Wanatumia bitcoin kulipwa, hapo tunaongelea deepweb, pia wanaclaim pesa mingi sana, abt 150usdKwani wanataka Bei gani?
Payment channels wameweka zipi na zipi?
Kuna mdau hapa JF aliwabembeleza kwa kuwambia hali ya uchumi wa nchi yetu na wakamtumia Program ya kuzifungua!
Jaribu kuwalilia wanaweza kukuachia ila kama pia wamedai hela kidogo fanya uwape maana lengo lao kiyafunga ni ili wapate pesa ukishawalipa
Ila haya yote ni kama una Value hayo mafile na hauna uhakika wa kuyapata hayo mafile tena bila kuingia gharama kubwa!