Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,122
HABAR,
Wakuu hiyi kitu inaitwa .cerber3 ransomware, ni kirusi kibaya zaid ya kilichowahi kutokea dunian kwa sasa
Kinafanyaje kazi: kinaingia kwa njia za kawaida kama kirus kingine tu, ila hiki ni kwamba kina enrypt mafaili yako yote kwenda .cerber3 enxtension pia kila ndan ya folder waliokula wanaweka link yao
Ransomware: from the word ransom, inabid uwalipe kupitia hio link waliokuwekea ili basi wakufungulie hizo files zako kwa maana wanatumia very strong encryption method
Kwa sasa hakuna antvirus ambao wana uwezo wa decrypt hizo files zao ila zipo method baadh ambazo sina uhakika kama zinafanya kazi
Google search: how to restore files infected by .cerber3 ransomware
Nimejuaje; : mimi mafaili yangu yote ya kuflashia simu zaid ya 300gb yameliwa, maelfu ya nyimbo mp3 zimeliwa videos, pictures, documents pdf, docx, pptx, excels, yana kifupi wameniacha mtupuuuuuuuuuuuuu
Nipo kama fala , tena fala kweli kweli mwenzenu, hii natoa tahadhar, tabia ya kudownload download kijinga jinga, kufungua email za ovyo ovyo, link za kijinga jinga acheni, nilimuachia mdogo wangu PC na hicho ndio alichonionesha asubihi hii, nahis kama kubanwa na haja kubwa vile mwenzenu
Remove Cerber 3 Ransomware and Restore .cerber3 Encrypted Files - SensorsTechForum.com
Naomba msome google kuhusu hio .cerber3 ransomware,
Kwa sasa nipi nahangaika kudecrypt, /kurestore my files
Nikifanikiwa nitarud ndugu zangu,
Nawapenda, stay safe
Internet si mahala salama
Wenu mtiifu
Multiphill90 a.ka mhanga wa .cerber3 ransomware
Kama una maswali au unataka kunipa msaada
0714726165
Akhsanteni
¯-------------------------------------------------------
Updates: imeshindikana ku-decrypt hayo mafaili,
Mwenzenu nimeliwa bila mate leo, ujanja kwishaaaaaa,
Shikamoo hackers, khaaaa nimewezekana mwenzenu
Atleast ingekua cerber1, cna hamu na hawa jamaa,
Angalizo: ransomware zipo nying sana sio cerber peke ake, kwa hiyo kuweni makini, nawasih sana msome kuhusiana na ransomwares,
mnaweza mkahudhuria msiba wa pc yangu kimara










Wakuu hiyi kitu inaitwa .cerber3 ransomware, ni kirusi kibaya zaid ya kilichowahi kutokea dunian kwa sasa
Kinafanyaje kazi: kinaingia kwa njia za kawaida kama kirus kingine tu, ila hiki ni kwamba kina enrypt mafaili yako yote kwenda .cerber3 enxtension pia kila ndan ya folder waliokula wanaweka link yao
Ransomware: from the word ransom, inabid uwalipe kupitia hio link waliokuwekea ili basi wakufungulie hizo files zako kwa maana wanatumia very strong encryption method
Kwa sasa hakuna antvirus ambao wana uwezo wa decrypt hizo files zao ila zipo method baadh ambazo sina uhakika kama zinafanya kazi
Google search: how to restore files infected by .cerber3 ransomware
Nimejuaje; : mimi mafaili yangu yote ya kuflashia simu zaid ya 300gb yameliwa, maelfu ya nyimbo mp3 zimeliwa videos, pictures, documents pdf, docx, pptx, excels, yana kifupi wameniacha mtupuuuuuuuuuuuuu
Nipo kama fala , tena fala kweli kweli mwenzenu, hii natoa tahadhar, tabia ya kudownload download kijinga jinga, kufungua email za ovyo ovyo, link za kijinga jinga acheni, nilimuachia mdogo wangu PC na hicho ndio alichonionesha asubihi hii, nahis kama kubanwa na haja kubwa vile mwenzenu
Remove Cerber 3 Ransomware and Restore .cerber3 Encrypted Files - SensorsTechForum.com
Naomba msome google kuhusu hio .cerber3 ransomware,
Kwa sasa nipi nahangaika kudecrypt, /kurestore my files
Nikifanikiwa nitarud ndugu zangu,
Nawapenda, stay safe
Internet si mahala salama
Wenu mtiifu
Multiphill90 a.ka mhanga wa .cerber3 ransomware
Kama una maswali au unataka kunipa msaada
0714726165
Akhsanteni
¯-------------------------------------------------------
Updates: imeshindikana ku-decrypt hayo mafaili,
Mwenzenu nimeliwa bila mate leo, ujanja kwishaaaaaa,
Shikamoo hackers, khaaaa nimewezekana mwenzenu
Atleast ingekua cerber1, cna hamu na hawa jamaa,
Angalizo: ransomware zipo nying sana sio cerber peke ake, kwa hiyo kuweni makini, nawasih sana msome kuhusiana na ransomwares,
mnaweza mkahudhuria msiba wa pc yangu kimara










