ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,702
- 57,185
Ukweli ndo upo hivyo mkiwa ofisini au kwenye duka au popote unapopatia maokoto mkiwa na boss mjanja, akiishiwa anaumiza akili mfanye nini mpite wapi mpate pesa.
Ila mkiwa na mkuu ambaye mkoloni mla ugali wa muhogo na dagaa daily ambaye mshahara wa mwezi uliopita bado anao na posho ya week iliyopita bado anayo hakika mtasubiri sana.
Kwanza unakuaje boss na huli kitimoto haya hata kama shisha huvuti wala kunywa heineken ama black and white ama hanson choice ama konyagi ama safari je ndo hata kuhonga 20000 kwako kipengele.?hela zinataka ziishe njaa ije ili akili ifanye kazi.
Ila mkiwa na mkuu ambaye mkoloni mla ugali wa muhogo na dagaa daily ambaye mshahara wa mwezi uliopita bado anao na posho ya week iliyopita bado anayo hakika mtasubiri sana.
Kwanza unakuaje boss na huli kitimoto haya hata kama shisha huvuti wala kunywa heineken ama black and white ama hanson choice ama konyagi ama safari je ndo hata kuhonga 20000 kwako kipengele.?hela zinataka ziishe njaa ije ili akili ifanye kazi.