moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,905
- 4,928
Sifa za kijinga hizo!!! Na utakuta tatizo ni jiwe mwenyewe, kutopereka pesa kwa wakati na kutumia hao wakandarasi ambao hakuna mchakato wa tender!! Leo anataka kuonekana shujaa!!!Haha hizi drama zitatuua sasa hahaha
Kuna dalili ya bangi ya Njombe iliyovutwa kisirisiri hapa!Jengo la Wizara ya Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) linalojengwa katika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Rais John Magufuli amesema wizara hiyo imeshindwa kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo kwa muda uliopangwa hivyo amemtaka Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo na watumishi wa wizara hiyo kuahamia hivyo hivyo
View attachment 1072478
HatariiiView attachment 1072336View attachment 1072337View attachment 1072338View attachment 1072339
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie mwenyewe nipo njiani kwenda hospitali nadhani kuna mbavu imekreki. Maana nimecheka mno. Dah!
Mimi siamini hii kitu!Jengo la Wizara ya Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) linalojengwa katika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Rais John Magufuli amesema wizara hiyo imeshindwa kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo kwa muda uliopangwa hivyo amemtaka Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo na watumishi wa wizara hiyo kuahamia hivyo hivyo
View attachment 1072478
HatariiiView attachment 1072336View attachment 1072337View attachment 1072338View attachment 1072339
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sasa waziri atakua full time kwenye ziara. Hatatulia ofisini
Tunapaswa kuchukua hatua (hasa hao wanaojiita ccm) nchi inaangamia kwa kwa kupewa rungu nanihii!Haya mambo ni kama yale ya wafuasi wa Kibwetere kutii kila wanaloambiwa na kiongozi wao hata kama halina logic!
Tunacheka; ukweli ni kuwa huyu bhana kuba akili haipo sawa! Hii bangi ya gizani tuuu!Tunapaswa kuchukua hatua (hasa hao wanaojiita ccm) nchi inaangamia kwa kwa kupewa rungu nanihii!
Eitha tusaidiane tumnyanganye au tumshangilie kwa vile kavaa jezi ya Yanga huku anatwanga marungu watoto wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app