Ofisi za ACT-Tanzania, ukarabati unaendelea...

Dotto C. Rangimoto

JF-Expert Member
Nov 22, 2012
1,985
1,282


Dar es Salaam


Mpanda-Katavi.
 

Attachments

  • SAM_4652.jpg
    345.3 KB · Views: 299
  • katavi.jpg
    40.1 KB · Views: 1,218
  • 20140509_163816.jpg
    52.9 KB · Views: 1,560
Chama cha wasaliti Tanzania.Dhambi mliyoifanya itawatafuna mpaka huko mlikoenda,hii sawa na kula nyama ya mtu.
 
Wadau tuwekeeni na katiba ya chama. Na sera pia tupitie tuone kama kinamambo mazuri. Niwajoin hand
 
Kiwashinde nini na CCM wameiba za kutosha na mgao ni pasu pasu?

Nyie wote ni ukoo wa panya tu.....
 
hayo matahira wanachora nini hapo na shirika lao la dini.hawana hata akaunti ya benki,limbu mwenyekiti wao ana tuhuma ya ADC chama kilikuwa hakina akaunti
 
Ila si wana provide posho vizuri tuingie ma jobless?
Zzk mtata sana CDM atakua wa mwisho kutoka na ACT atakua wa mwisho kuingia
 
Hiki ndiyo chama siyo chadema, kiko ki kanda zaidi mpaka viti maalumu wanapewa wake, hawara, watoto na dada zao, chama cha kujiripua mabomu na maandamano, chama cha kupora wake za watu na wazinzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…