Ofisi ya Serikali ya Mtaa Oysterbay Imefungwa

Ofisi ya Serikali ya Mtaa Oysterbay Imefungwa

Pantaleo

Member
Joined
Aug 16, 2011
Posts
5
Reaction score
1
Habari wananchi wenzangu ninaomba kuuliza maana sielewe, kwani ofisi za serikali ya mtaa Oysterbay imefungwa? maana toka jana mchana mpaka wakati huu hakuna mtu ofisini na kila nikipiga namba zao hazipokelewi.
 
Back
Top Bottom