Hassan J. Mosoka
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 682
- 323
Ndugu zangu nimepatwa na mshangao mkubwa kuona aliyekuwa WAZIRI WA MAMBO YA NDANI (USALAMA WA RAIA) na mwanasheria kwa taaluma kuondoka na samani za OFISI YA MBUNGE WA BUNGE LA JMT.
Naomba kusaidiwa tu kujua je amechukuliwa hatua gani na serikali kwa kupora mali ya Umma? CCM kama chama wamemchukulia hatua gani kwa aibu aliyokiletea chama?
Kama huyu ndiye alikuwa analinda usalama na mali zetu Je tuna hakika gani kuwa ametuacha salama kama taifa?,
Naomba mnisaidie kuelewa hayo tu kwa leo
Naomba kusaidiwa tu kujua je amechukuliwa hatua gani na serikali kwa kupora mali ya Umma? CCM kama chama wamemchukulia hatua gani kwa aibu aliyokiletea chama?
Kama huyu ndiye alikuwa analinda usalama na mali zetu Je tuna hakika gani kuwa ametuacha salama kama taifa?,
Naomba mnisaidie kuelewa hayo tu kwa leo