Kuanzia leo vikao vya Bunge vitaendeshwa kidigitalii. Hii ni hatua kubwa ya kimaendeleo na kuokoa fedha nyingi zilizokuwa zinatumika kununua makaratasi. Kwa wale ambao hawajazoea matumizi ya kidigitali msione aibu kujifunza. Kitu kipya lazima mtu ujifunze.