General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,061
Makao makuu ya ofisi ya Yanga Jangwani nayo ipo eneo la Jangwani, Lipo bondeni linapaswa kubomolewaa.
Ukitazama ule uwanja mdogo wao wa mazoezi pale jangwani pia ni bondeni, ni kama mchikichini ambayo wakazi wa eneo hilo wakazi wake waliambiwa watoke.
Magufuli ondoa Ofisi hii, msumeno utafune kotekote.
Ukitazama ule uwanja mdogo wao wa mazoezi pale jangwani pia ni bondeni, ni kama mchikichini ambayo wakazi wa eneo hilo wakazi wake waliambiwa watoke.
Magufuli ondoa Ofisi hii, msumeno utafune kotekote.