Natafuta matibabu
JF-Expert Member
- Aug 1, 2020
- 262
- 301
Kati ya ofisi ya Katibu Mkuu Wizara, Katibu Mkuu Utumishi, ipi naweza kupata msaada?
Nimekuwa nikitafuta kazi kwa muda mrefu hadi sasa.
Nimejaribu kutuma maombi ya kazi sehemu mbalimbali (sekta binafsi na serikali (TAMISEMI kwa zile nafasi ambazo walishatoaga tangu kipindi cha Marehemu Magufuli) ila sijawahi kubahatika kupata nafasi.
Sasa nafikiria nipeleke vyeti na wasifu wangu moja kwa moja kwenye ofisi kama nilizozitaja na zingine mtakazonielekeza ili nikawaeleze uzito wa shida yangu na ikiwezekana waweze kunisaidia.
Naombeni mnielekeze
Nimekuwa nikitafuta kazi kwa muda mrefu hadi sasa.
Nimejaribu kutuma maombi ya kazi sehemu mbalimbali (sekta binafsi na serikali (TAMISEMI kwa zile nafasi ambazo walishatoaga tangu kipindi cha Marehemu Magufuli) ila sijawahi kubahatika kupata nafasi.
Sasa nafikiria nipeleke vyeti na wasifu wangu moja kwa moja kwenye ofisi kama nilizozitaja na zingine mtakazonielekeza ili nikawaeleze uzito wa shida yangu na ikiwezekana waweze kunisaidia.
Naombeni mnielekeze