Bramo JF-Expert Member Joined Oct 21, 2009 Posts 13,242 Reaction score 10,227 Nov 14, 2014 #41 Elli said: Kwa comments hizi ningekuwa mimi ndio mhariri ningeacha kazi faster Click to expand... Njaa mkuu ndo zinawatoa watu ufahamu
Elli said: Kwa comments hizi ningekuwa mimi ndio mhariri ningeacha kazi faster Click to expand... Njaa mkuu ndo zinawatoa watu ufahamu
M mwasu JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 10,161 Reaction score 11,559 Nov 14, 2014 #42 Utavurugaje kilichojivuruga chenyewe? Walijitoa ufahamu kuanzisha hiyo taasisi, haukuwa uamuzi wa busara ila kisasi waache kulia na watu.
Utavurugaje kilichojivuruga chenyewe? Walijitoa ufahamu kuanzisha hiyo taasisi, haukuwa uamuzi wa busara ila kisasi waache kulia na watu.
K KMANGA JF-Expert Member Joined Jan 30, 2014 Posts 674 Reaction score 369 Nov 14, 2014 #43 Chama kilichopatiwa USAJILI WA KUDUMU bila wanachama, katiba wala uongozi unaojulikana ki-Taifa na MSAJILI WA VYAMA (ACT). Hakika kila mpango mfu unaofanywa na Watawala kupitia club yao ya CCM huishia kuparaganyika na kutoa matokeo hasi kila uchao...
Chama kilichopatiwa USAJILI WA KUDUMU bila wanachama, katiba wala uongozi unaojulikana ki-Taifa na MSAJILI WA VYAMA (ACT). Hakika kila mpango mfu unaofanywa na Watawala kupitia club yao ya CCM huishia kuparaganyika na kutoa matokeo hasi kila uchao...