Yupo nao wapi. Umeongea kama unawajua. Wataje wew basiKachapwa mijeledi,kapigwa bila huruma na kafumbwa macho siku3.... ni kina nani hao walio mfanya hivyo? Kwann asiwataje sasa.....na mbona yupo nao.
Rudia tena kusikiliza, kuna sehemu kasema hakuona nyota kwenye shoulder japo anajua ni solider... Ulikuja mwenyewe au ulipewa orderWimbo mzuri sana nimeusikiliza mara nne lkn bado sijaelewa vizuri,
Anasema hakuna noah huo ni uzushi lkn hasemi gari gani ili mchukua,
Anasema hawezi kumtukana rais mbunge kapewa ambulance yeye kajengewa bomba tanga anyway ngoja nikitulia usiku nisikilize tena nikiwa nimetulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo mzuri sana nimeusikiliza mara nne lkn bado sijaelewa vizuri,
Anasema hakuna noah huo ni uzushi lkn hasemi gari gani ili mchukua,
Anasema hawezi kumtukana rais mbunge kapewa ambulance yeye kajengewa bomba tanga anyway ngoja nikitulia usiku nisikilize tena nikiwa nimetulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndungu weka mfumo mwepesi tudownload hiyo ngoma kali.Waloniteka hawakuja na Noah/
Ni uvumi na visanga/
Ila kutekana tekana huu ni uhuni wa kishamba/
Weka bunduki chini si tubishane kwa hoja/
Maana sote lengo letu kuijenga Tanzania moja/
Mi sikuona nyota kwa shoulder/
Ila najua wee ni soja/
Ulikuja mwenyewe au ulipewa order/
Soma mwendelezo wa hizo lyrics mzee utaelewa. Kakataa Noah ila gari hajalitaja ila unaweza kutabiri kitu akilini ukiendelea na hizo lyrics za chini
Ok ngoja nifanye hivyo...
Wimbo wa Roma sio mziki wa Roma hata hivyo mziki =muziki. Tuendelee.Nilitabiri utakuwa rais/ukiwa unaitwa waziri japo maisha sio marahisi/Ila unahitaji pongezi /
Track itakuwa stori ya town kwa mwezi huu.
Huu ndio mziki wa Roma sasa.
Nimeisikia hiyo nyimbo,nadhani ndiyo itakayochukua chati za juu kwenye paly station nyingi za radio na TV pamoja na mtaani na madereva wa bodaboda,Amemzungumzia mh.kessy aliyesema Roma amemtukana mkulu.ni nyimbo nzuri hakika,haichoshi kusikiliza masikioni,Sikiliza hapa,
Ni wimbo wa taifa kwa sasa! Nimeusikiliza karibia Mara 10 hauchoshi,badala ya ule wa darassa wa MUZIKI,Nay wa mitego WAPO unaofatia sasa ni huu wa Roma ZIMBABWE.Nilitabiri utakuwa rais/ukiwa unaitwa waziri japo maisha sio marahisi/Ila unahitaji pongezi /
Track itakuwa stori ya town kwa mwezi huu.
Huu ndio mziki wa Roma sasa.
Nyimbo nzuri hakika! PlayStation zote za TV na Radio zitatekwa na hii nyimbo,bado mtaani kwa bodaboda na waingiza nyimbo kwenye flash.Ni hit song kwa kweliuyu dogo atatekwa tena muda si mrefu. tuwe tu makini tumsaidie atoke tena akiwa mzima. mungu wa paulo, mungu wa john, mungu wa daudi? dah? waliosema nitaonekana hada jmosi sijui jpili haitafika ilitimia vilevile? who was that? nilitabiri ukiwa waziri utakuwa rais?, mbunge uliyesema mimi nimemtukana nimekushitakiwa kwa mungu?...hahaha, aisee dogo bado ana kinyongo na Mungu atamsaidia kuwalipa watesi wake sawasawa na walivyomtenda. one day yes.