Kitumbo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 549
- 185
Musoma:
Udiwani CCM wamepata kata za Nyasho na Iringo tu nyingine zote Chadema imechuku
Ubunge: hadi sasa tulizojumlisha Nyerere amemzidi Mathayo wa CCM kwa zaidi ya Kura 4000
Urais: Slaa anaongoza kwa mbali sana
Vituo vingi vimekamilrisha uhesabuji matokeo kutangazwa na msimamizi wa jimbo muda wowote kutoka sasa
Udiwani CCM wamepata kata za Nyasho na Iringo tu nyingine zote Chadema imechuku
Ubunge: hadi sasa tulizojumlisha Nyerere amemzidi Mathayo wa CCM kwa zaidi ya Kura 4000
Urais: Slaa anaongoza kwa mbali sana
Vituo vingi vimekamilrisha uhesabuji matokeo kutangazwa na msimamizi wa jimbo muda wowote kutoka sasa