Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,489
- 1,814
Anaomba RAIS mteule kuwa pamoja na kuwa katangazwa yeye hakuna mshindi wala mshindwa bali ni wazanzibari wote. Anaomba kusiwe na kuumizana. Anamalizia kwa kumpongeza tena na kumtakia kila lakheri katika uongozi wake. Ni kwa kifupi tu kwani sina speed ktk key board