brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Rasmi Sasa Leo tarehe 16 May dirisha ya usajili limefunguliwa kwa ajili ya msimu ujao.Dirisha litafungwa rasmi tarehe 8 mwezi wa 8 wiki moja kabla ya Ligi kuanza.
England wamebadilisha utaratibu was usajili kupishana na ule wa Ulaya unaonza July 1 mpaka September 31. England wamebadilisha ili kuondoa mkanganyiko wa usajili kufanyika wakati ligi ikiwa imeanza.
England wamebadilisha utaratibu was usajili kupishana na ule wa Ulaya unaonza July 1 mpaka September 31. England wamebadilisha ili kuondoa mkanganyiko wa usajili kufanyika wakati ligi ikiwa imeanza.