Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,390
Mkuu kwani jamaa ni Nani ambaye anamfanyia branding ya kazi zake za music?Satoh Hirosh njoo ujipatie nakala halisi ya albam kutoka kwa myama mkali...don the mazafanta.
Umeongea kwa uchungu sana mkuu, tutalifikiria hilo. Ila wakati tukiangalia namna ya kufanya update ni vema ukaburudisha masikio yako kwa track mbili tatu kwenye hii albamu.Mkuu kwani jamaa ni Nani ambaye anamfanyia branding ya kazi zake za music?
Hii picha aliyoweka kwenye Hilo bara la Africa amechana nywele kweli? Alafu ni nyekundu sn utadhani alikuwa anaendesha bodaboda kwenye barabara ya vumbi alafu akaambiwa njoo upige picha🤣🤣
Kwenye hii poster sijui nini kimefanyika asee!!..nimekosa hamu ya kusikilizia hiyo Albam mkuu Stephen Chelu
Jamaa anahitaji msaada,mbn mnamwangalia Tu miaka yote hii mkuu?
hiyo sasa ndo unyama yaaniMkuu kwani jamaa ni Nani ambaye anamfanyia branding ya kazi zake za music?
Hii picha aliyoweka kwenye Hilo bara la Africa amechana nywele kweli? Alafu ni nyekundu sn utadhani alikuwa anaendesha bodaboda kwenye barabara ya vumbi alafu akaambiwa njoo upige picha🤣🤣
Kwenye hii poster sijui nini kimefanyika asee!!..nimekosa hamu ya kusikilizia hiyo Albam mkuu Stephen Chelu
Jamaa anahitaji msaada,mbn mnamwangalia Tu miaka yote hii mkuu?
Asante sn studio..nigongee track namba tatu pleaseUmeongea kwa uchungu sana mkuu, tutalifikiria hilo. Ila wakati tukiangalia namna ya kufanya update ni vema ukaburudisha masikio yako kwa track mbili tatu kwenye hii albamu.