SON OF THE LAND
JF-Expert Member
- Oct 7, 2015
- 204
- 210
ukiangalia logo yao inaonyesha kama ndio jicho la serikali, but unfortunately hicho ndio kitengo kibaya kutokea katika nchi hii na adui mkuu wa maendeleo ya nchi yetu
ni kivipi sasa ofisi ya CAG anahujumu uchumi yeye na vijana wake
hawa watu wamepewa jukumu la kuonyesha picha nzima ya maeneo mengi ya sector za serikali ili kujua mapungufu yaliyopo na wizi uliopo katika hizo sehemu za kiserikali
ila hii ofisi ya mkaguzi mkuu na vijana wake na ninasema mkaguzi mkuu sababu yeye ndio anaesimamia hio ofisi iko hivi hawa watu kwa Mfano wakifika katika ofisi za Halmashauri cha kwanza either wanaomba pesa kwanza kabla ya kuanza kazi au hizo Halmashauri husika wanawashikisha pesa na kuwaambia wasiweke hoja ambazo ni hatarishi
sasa effect ya huo mchezo ni nini ni kwamba wanabariki wizi na upotevu mkubwa wa pesa kutoka sehemu mbalimbali za kiserikali mfano Halmashauri yenye budget ya sh eg Bilion moja wanaweza kupoteza milioni 400 na hawa vijana wa CAG wakafunika huo wizi na kupokea Rushwa ya milioni 20 sasa fikiria kwa nchi nzima ni shilingi ngapi serikali inapoteza kupitia hawa vijana wa CAG NDIO MAANA NIKASEMA HAWA NI WAHUJUMU UCHUMI WAKUBWA.
na kwa sasa wapo katika ukaguzi wa ofisi za TARURA NCHI NZIMA huko wameisha anza na wanaendelea na hio michezo kwa kuichafua hii institution mpya kabisa
ushauri kwa Mh Rais
1) usifukuze wahusika haraka katika sector /sehemu yeyote mpaka utakapojiridhisha bila shaka kwamba kweli hio sehemu ina hati chafu maana hawa vijana wa CAG usipowapa ushirikiano wa huo uwizi wao ndio huwa wanawaandikia hizo hati chafu na hata wale wenye hati safi sio kwamba ni wasafi bali ni wale waliotio hongo au ushirikiano wa kifedha kwa hao vijana wa NAO
2) TAKUKURU Tembeeni/ wafatilieni hawa vijana kama nilivyosema kwa sasa ndio wameanza kukagua ofisi za TARURA ili kuzuia huo uhuni
3) Ofisi ya TARURA msije mkawaendekeza hawa watu wakianza na michezo yao hio itabidi muendelee na hu mchezo for the rest of your life mtakua watumwa wa hao jamaa kama wana hoja chukua kazitetee mbele huko
AMEN
ni kivipi sasa ofisi ya CAG anahujumu uchumi yeye na vijana wake
hawa watu wamepewa jukumu la kuonyesha picha nzima ya maeneo mengi ya sector za serikali ili kujua mapungufu yaliyopo na wizi uliopo katika hizo sehemu za kiserikali
ila hii ofisi ya mkaguzi mkuu na vijana wake na ninasema mkaguzi mkuu sababu yeye ndio anaesimamia hio ofisi iko hivi hawa watu kwa Mfano wakifika katika ofisi za Halmashauri cha kwanza either wanaomba pesa kwanza kabla ya kuanza kazi au hizo Halmashauri husika wanawashikisha pesa na kuwaambia wasiweke hoja ambazo ni hatarishi
sasa effect ya huo mchezo ni nini ni kwamba wanabariki wizi na upotevu mkubwa wa pesa kutoka sehemu mbalimbali za kiserikali mfano Halmashauri yenye budget ya sh eg Bilion moja wanaweza kupoteza milioni 400 na hawa vijana wa CAG wakafunika huo wizi na kupokea Rushwa ya milioni 20 sasa fikiria kwa nchi nzima ni shilingi ngapi serikali inapoteza kupitia hawa vijana wa CAG NDIO MAANA NIKASEMA HAWA NI WAHUJUMU UCHUMI WAKUBWA.
na kwa sasa wapo katika ukaguzi wa ofisi za TARURA NCHI NZIMA huko wameisha anza na wanaendelea na hio michezo kwa kuichafua hii institution mpya kabisa
ushauri kwa Mh Rais
1) usifukuze wahusika haraka katika sector /sehemu yeyote mpaka utakapojiridhisha bila shaka kwamba kweli hio sehemu ina hati chafu maana hawa vijana wa CAG usipowapa ushirikiano wa huo uwizi wao ndio huwa wanawaandikia hizo hati chafu na hata wale wenye hati safi sio kwamba ni wasafi bali ni wale waliotio hongo au ushirikiano wa kifedha kwa hao vijana wa NAO
2) TAKUKURU Tembeeni/ wafatilieni hawa vijana kama nilivyosema kwa sasa ndio wameanza kukagua ofisi za TARURA ili kuzuia huo uhuni
3) Ofisi ya TARURA msije mkawaendekeza hawa watu wakianza na michezo yao hio itabidi muendelee na hu mchezo for the rest of your life mtakua watumwa wa hao jamaa kama wana hoja chukua kazitetee mbele huko
AMEN