SON OF THE LAND
JF-Expert Member
- Oct 7, 2015
- 204
- 210
- Thread starter
- #21
Umesomea mambo ya uhasibu/ukaguzi wa hesabu au uko kwenye kitengo cha manunuzi??
saidia sehemu ambayo unaona inakosewa usikae kimya tu
Umesomea mambo ya uhasibu/ukaguzi wa hesabu au uko kwenye kitengo cha manunuzi??
Kama unaweza thibitisha tuhuma hizi dhidi ya ofisi ya CAG basi ni vyema tuhuma zako uzipeleke mbelemimi sina tatizo hio office shida na dhumuni langu ni kwamba mkuu wao aone naTAKUKURU waone ili waanze kuwaonya na kuwakumbusha majukumu yao katika Taifa kwamba wao ndio hope na msaada kwa Raisi waache kuchukua vijihela kama wameona makosa ya upigaji wasaidie serikali pesa zitakazokua zimepigwa zirudishwe badala ya kukaa kiti kimoja na wahusika na ku negotiate mtatupa sh ngapi tupute hii hoja halafu wanaandika hoja nyepesi ambazo hazina mashiko basi gemu limeisha
Kama unaweza thibitisha tuhuma hizi dhidi ya ofisi ya CAG basi ni vyema tuhuma zako uzipeleke mbele
BIG 4 mmoja huwa anashiriki kwenye ukaguzi wa CAG.maana yangu hapo office ya CAG wakasimama ukaguzi wa nchi nzima hio pesa tukalipa hao Big4 atleast kwa mwaka moja uone nini watakuja nacho then ndio mnarudisha CAG wakiwa wamepigwa msasa na ninajua hapo kuna maswala ya sheria yatahitajikubadilishwa