Hello
Office ya kupangisha kwa ajili ya shughuli za kampuni inahitajika. Ofisi inatakiwa kuwa na vigezo vifuatavyo
-ukubwa usiopungua 10m^2
-iwe maeneo Dar es salaam, ila kwa ufasaha zaidi Sinza, Kinondoni, Msasani, Mikocheni, Survey, Ubungo
-bei yake iwe halisi na eneo lenyewe
-iwe nzuri (presentable)
-isiwe kwenye eneo la kujificha
Kama unajua sehem ya vigezo hivyo, unamiliki na unataka kupangisha au unamjua mtu mwenye lengo tajwa naomba uni pm tutawasiliana kwa haraka.
Nashkuru
Office ya kupangisha kwa ajili ya shughuli za kampuni inahitajika. Ofisi inatakiwa kuwa na vigezo vifuatavyo
-ukubwa usiopungua 10m^2
-iwe maeneo Dar es salaam, ila kwa ufasaha zaidi Sinza, Kinondoni, Msasani, Mikocheni, Survey, Ubungo
-bei yake iwe halisi na eneo lenyewe
-iwe nzuri (presentable)
-isiwe kwenye eneo la kujificha
Kama unajua sehem ya vigezo hivyo, unamiliki na unataka kupangisha au unamjua mtu mwenye lengo tajwa naomba uni pm tutawasiliana kwa haraka.
Nashkuru