Office space for rent in demand

Office space for rent in demand

Tafakuru

Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
83
Reaction score
33
Hello

Office ya kupangisha kwa ajili ya shughuli za kampuni inahitajika. Ofisi inatakiwa kuwa na vigezo vifuatavyo

-ukubwa usiopungua 10m^2
-iwe maeneo Dar es salaam, ila kwa ufasaha zaidi Sinza, Kinondoni, Msasani, Mikocheni, Survey, Ubungo
-bei yake iwe halisi na eneo lenyewe
-iwe nzuri (presentable)
-isiwe kwenye eneo la kujificha

Kama unajua sehem ya vigezo hivyo, unamiliki na unataka kupangisha au unamjua mtu mwenye lengo tajwa naomba uni pm tutawasiliana kwa haraka.

Nashkuru
 
Nashkuru sana bwana Uwoya kwa kasi yako nzuri na ushirikiano wako. Kibiashara Tegeta ni mbali hivyo haptanifaa sana, ila tegeta nnatafuta kiwanja kikubwa kama kipo
 
Mkuu kuna ambayo ni square meter 38 ina ac,tiles pamoja na partition ipo sinza unaweza kunipm mkuu haina dalali ipo. Kwenye kona

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Nashkuru sana bwana Uwoya kwa kasi yako nzuri na ushirikiano wako. Kibiashara Tegeta ni mbali hivyo haptanifaa sana, ila tegeta nnatafuta kiwanja kikubwa kama kipo

mkuu tegeta kiwanja kikubwa kipo nipn 0714104788
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom