anatakiwa office administrator,mshahara sh 400,000 take home kwa mwezi.kama interested tuma email:m66_60m@yahoo.co.uk
Huyu jamaa anawazingua tu, ofisi haina jina, physical address, email yenyewe imekaa kijanja janja tu. Anasema inadeal na engineering halafu ipo DSM, sasa mjiulize hapo DSM kuna ofisi ngapi zinahusika na engineering.