Kurunzi
Platinum Member
- Jul 31, 2009
- 10,175
- 11,572
Mkuu kutoka Tegeta mpaka zinga haiwezi kuwa hizi Km 8, ni km 31 mwendo wa 50min kwa gari.Njoo Zinga bagamoyo Km 8 kutokea tegeta kwa ndevu dakika 30 kutoka zinga hadi kwa ndevu kwa daladala pia dakika 20 kwa gari binafsi. Kiwanja square meters 1200 kwa Tsh 7M tuuu kipo barabarani (ya mtaa) na kipo umbali wa dk kumi kwa kutembea kwa miguu kutoka barabara kuu.