Elias Msuya
Platinum Member
- Dec 23, 2011
- 233
- 920
Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kimetangaza kuwa hakitasimamisha mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa Kenya wa mwaka 2027, badala yake kitamuunga mkono Rais William Ruto kuwania muhula wa pili madarakani.
Kauli hiyo ilitolewa jana, Julai 12, 2026, na kiongozi mwandamizi wa ODM, Oburu Oginga, ambaye amesema uamuzi huo umetokana na mazungumzo ya kisiasa yanayoendelea kati ya chama hicho na viongozi wa serikali.
Kauli hiyo ilitolewa jana, Julai 12, 2026, na kiongozi mwandamizi wa ODM, Oburu Oginga, ambaye amesema uamuzi huo umetokana na mazungumzo ya kisiasa yanayoendelea kati ya chama hicho na viongozi wa serikali.