Odinga ataka kifo cha General Ogolla kichunguzwe haraka kwani Wananchi Wana hofu ameuawa!

Kheri kufa kwenye helicopter kuliko kwenye kiroba kilicho fungwa jiwe ..teh teh
Kweli kabisa. Ukifa kwenye kiroba ukatupwa baharini uliwe na samaki inauma sana. Bora kwenye helikopta ndugu wataokota mabaki ya mwili wazike.
 

Wapi amesema serikali ndiyo imemuua?
 
Oburu Odinga si Raila Odinga ni kaka ww Raila!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…