Tumuulize Yesu anaweza kuwa na majibu maana naye alifanyiwa hivyo wakati ni MunguJe yupo sahihi?
Huyu alisema mwenzake ni mshoga ati anajuaje wanaume wenzake hawajakatwa kama hakulala nao?Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesema kutahiriwa siyo lazima.
Sijui wakimpata mtoto wa mama mdogo wanafanyajeKwani wajaruo huwa wanakatwa?
Mkuu Kuna jamii za kiafrika wanatahiriwa kienyeji kabla ya wakoloni hapa unasemaje.Kiukweli Kuna madhara makubwa kuliko tunavyo fikiri mzungu hanaga kitu kinaitwa bule
Tohara Ina punguza ukubwa wa uume/,tohara inapunguza uwezo wa mtu kudum kwenye tendo la ndoa,tohara inapunguza Radha ya tendo kwa mwanaume,tohara ndiyo chanzo cha kibamia
Hayo mengine ni ushamba tuu
Je wewe umetahiri? Tuanzie hapo kwanza😎😁Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesema kutahiriwa siyo lazima.
Eti kwani Mungu hakukosea kuweka ile ngozi maana ina umuhimu wake.
Je yupo sahihi?
Ebu tujadiliView attachment 2872687
Amini unavyo amini Ila ukweli ndiyo huo mkuuMkuu Kuna jamii za kiafrika wanatahiriwa kienyeji kabla ya wakoloni hapa unasemaje.
Pia mtu akitahiriwa akishakuwa mkubwa around 17+ nadhani suala la uume mdogo halipo.
Kama vipi njoo uicheki ya kwangu uone Kama hii research yako Ni valid labda naweza sema sensitivity kwanza inaongezeka Mana nje Kuna baridi tofauti ingekuwa ndani ya mfuko so Ile kugusana na uke joto sensitivity iko juu
Kwani tohara alileta mzungu??Kiukweli Kuna madhara makubwa kuliko tunavyo fikiri mzungu hanaga kitu kinaitwa bule
Tohara Ina punguza ukubwa wa uume/,tohara inapunguza uwezo wa mtu kudum kwenye tendo la ndoa,tohara inapunguza Radha ya tendo kwa mwanaume,tohara ndiyo chanzo cha kibamia
Hayo mengine ni ushamba tuu
Mkuu Kuna jamii za kiafrika wanatahiriwa kienyeji kabla ya wakoloni hapa unasemaje.
Pia mtu akitahiriwa akishakuwa mkubwa around 17+ nadhani suala la uume mdogo halipo.
Kama vipi njoo uicheki ya kwangu uone Kama hii research yako Ni valid labda naweza sema sensitivity kwanza inaongezeka Mana nje Kuna baridi tofauti ingekuwa ndani ya mfuko so Ile kugusana na uke joto sensitivity iko juu
Kuna sehem nimeandika ililetwa na mzingu boss Wang? Aukwasababu nimeandika mzungu hanaga kitu Cha bule?Kwani tohara alileta mzungu??
Bureinatolewa bule na serikali kwa msaada wa watu wa marekani/USAIDs