Odinga amwambia Ruto 'Sitishiki na siwezi kusitisha Maandamano

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
odinga.jpg

Kiongozi huyo wa Upinzani amesema Maandamano na Migomo aliyoitisha dhidi ya Serikali itakayofanyika Jumatatu Machi 20, 2023 kwenye jiji la #Nairobi iko pale pale licha ya Vitisho vinavyotolewa Viongozi wa Serikali.

#Odinga amesema "Ruto na Gachagua hawawezi kuelewa nilichopitia. Nimekuwa nikipigania #Demokrasia na nimewekwa kizuizini kwa miaka 8 wakati baadhi yao wakiwa wananyonya. Niko tayari na nimejiandaa kulipa gharama kubwa huku nikipigania ukombozi wa Kenya”.

Kiongozi huyo ametaja sababu za Maandamano hayo kuwa ni pamoja na Rais kukataa kuruhusu Ukaguzi wa Seva za Tume ya Uchaguzi (IEBC), Gharama Kubwa za Maisha, Upendeleo Ndani ya Serikali, Kuingilia na Kuvunja Muundo wa #IEBC.

============

Kenyan opposition leader Raila Odinga has maintained that he will not be intimidated to call off the countrywide protests slated for Monday.

Mr Odinga, who addressed a in Nakuru City on Thursday, said the planned protests would be peaceful.

While referring to his run-ins with former President Daniel Moi’s regime, Mr Odinga maintained that he will not be cowed by veiled threats from President William Ruto and other government officials.

“We cannot be intimidated by William Ruto and [Deputy President] Rigathi Gachagua. I want to tell them that I fought for the second liberation in this country. The two cannot understand what I have gone through. I was arrested, charged in court and went to prison in 1983 but was discharged for lack of evidence. I have been fighting for democracy and was put in detention for eight years when some of them were still breastfeeding,” Mr Odinga said.

“The lion (Moi) was dreaded but we uprooted its teeth. I am ready and prepared to pay the ultimate price while fighting for the liberation of Kenya,” added Mr Odinga amid cheers from the charged crowd.

Mother of all protests

While declaring the March 20 demonstrations the “mother of all protests” expected to bring the country to a standstill, Mr Odinga listed six reasons to justify it. These are refusal by President Ruto to allow the audit of the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) servers, high cost of living after the government eliminated subsidies, nepotism in the Kenya administration, failing to consult other stakeholders in the reconstitution of IEBC, broken promises and an illegitimate government.

The rally was Mr Odinga’s first public meeting in Nakuru since losing to President Ruto in last year’s elections.

At the same time, Mr Kalonzo Musyoka, the Wiper party leader, maintained that Monday’s protests will be peaceful and warned foreign countries against interfering with Kenya’s affairs.

“Our march will be peaceful and will not target anyone. Whoever will bring violence is not part of us. We will demonstrate until William Ruto leaves the State House,” said Mr Musyoka.

“We know they have plans to use a few of their supporters to loot shops and blame it on Azimio (opposition coalation), but l want to tell them that we shall be very disciplined. The constitution gives us enough freedom,” added Mr Musyoka.

THE EASTAFRICAN
 
Odinga kama alishindwa kuiba jua hawezi maandamano akubali kushindwa tu
 
Odinga is the type of the late Maalim Seif Sharif Hamad from Zanzibar, he knows and he is a smart leader for Kenyan, nadhan what he fought for kitaleta matunda na Kenya kuwa nchi nzuri zaidi, Ruto muda mchache alioshika madaraka tayari amekuwa na majibu ya ovyo kwamba umasikini hakuanza hakuuleta yeye Kenya umeanzia kwa kiongozi aliyepita sasa hizi ni kauli za kuchoka mapema bila kutafuta mbadala kuwasaidia maisha watu wa Kenya.
 
odinga.jpg

Kiongozi huyo wa Upinzani amesema Maandamano na Migomo aliyoitisha dhidi ya Serikali itakayofanyika Jumatatu Machi 20, 2023 kwenye jiji la #Nairobi iko pale pale licha ya Vitisho vinavyotolewa Viongozi wa Serikali.

#Odinga amesema "Ruto na Gachagua hawawezi kuelewa nilichopitia. Nimekuwa nikipigania #Demokrasia na nimewekwa kizuizini kwa miaka 8 wakati baadhi yao wakiwa wananyonya. Niko tayari na nimejiandaa kulipa gharama kubwa huku nikipigania ukombozi wa Kenya”.

Kiongozi huyo ametaja sababu za Maandamano hayo kuwa ni pamoja na Rais kukataa kuruhusu Ukaguzi wa Seva za Tume ya Uchaguzi (IEBC), Gharama Kubwa za Maisha, Upendeleo Ndani ya Serikali, Kuingilia na Kuvunja Muundo wa #IEBC.

============

Kenyan opposition leader Raila Odinga has maintained that he will not be intimidated to call off the countrywide protests slated for Monday.

Mr Odinga, who addressed a in Nakuru City on Thursday, said the planned protests would be peaceful.

While referring to his run-ins with former President Daniel Moi’s regime, Mr Odinga maintained that he will not be cowed by veiled threats from President William Ruto and other government officials.

“We cannot be intimidated by William Ruto and [Deputy President] Rigathi Gachagua. I want to tell them that I fought for the second liberation in this country. The two cannot understand what I have gone through. I was arrested, charged in court and went to prison in 1983 but was discharged for lack of evidence. I have been fighting for democracy and was put in detention for eight years when some of them were still breastfeeding,” Mr Odinga said.

“The lion (Moi) was dreaded but we uprooted its teeth. I am ready and prepared to pay the ultimate price while fighting for the liberation of Kenya,” added Mr Odinga amid cheers from the charged crowd.

Mother of all protests

While declaring the March 20 demonstrations the “mother of all protests” expected to bring the country to a standstill, Mr Odinga listed six reasons to justify it. These are refusal by President Ruto to allow the audit of the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) servers, high cost of living after the government eliminated subsidies, nepotism in the Kenya administration, failing to consult other stakeholders in the reconstitution of IEBC, broken promises and an illegitimate government.

The rally was Mr Odinga’s first public meeting in Nakuru since losing to President Ruto in last year’s elections.

At the same time, Mr Kalonzo Musyoka, the Wiper party leader, maintained that Monday’s protests will be peaceful and warned foreign countries against interfering with Kenya’s affairs.

“Our march will be peaceful and will not target anyone. Whoever will bring violence is not part of us. We will demonstrate until William Ruto leaves the State House,” said Mr Musyoka.

“We know they have plans to use a few of their supporters to loot shops and blame it on Azimio (opposition coalation), but l want to tell them that we shall be very disciplined. The constitution gives us enough freedom,” added Mr Musyoka.

THE EASTAFRICAN
Mahakama imemaliza kazi yake, anataka kipi kingine?
 
Nachukia watu wanaodhani mtu kudai na kusimamia anachoona ni haki yake kuwa anavunja amani!.

Kama uchaguzi ulikuwa hauna mizengwe kwa nini wasiruhusu watu wachungulie hizo kompyuta na tume?.
 
Back
Top Bottom