Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Imeleezwa kuwa si sahihi kusema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na viongozi wako hawako tayari kushiriki maridhiano, badala yake Watanzania na wadau wengine 'wa amani' wanapaswa kutambua kuwa msingi wa kuanzishwa kwa chama hicho ni kupigania demokrasia Kwa njia ya amani jambo ambalo linamaanisha uwepo wa 'mazungumzo'
Hayo yameelezwa na Kada wa chama hicho Odero Charles Odero ambapo katika maelezo yake amesema kwa sasa yeye binafsi amekuwa mstari wa mbele kuwashawishi viongozi na wanachama wa CHADEMA na Watanzania kwa ujumla wake kuanza mchakato wa maridhiano kwaajili ya kuliponya Taifa
Hayo yameelezwa na Kada wa chama hicho Odero Charles Odero ambapo katika maelezo yake amesema kwa sasa yeye binafsi amekuwa mstari wa mbele kuwashawishi viongozi na wanachama wa CHADEMA na Watanzania kwa ujumla wake kuanza mchakato wa maridhiano kwaajili ya kuliponya Taifa