PostGE2025 Odero: Si kweli kwamba CHADEMA haitaki Mariadhiano

PostGE2025 Odero: Si kweli kwamba CHADEMA haitaki Mariadhiano

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Imeleezwa kuwa si sahihi kusema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na viongozi wako hawako tayari kushiriki maridhiano, badala yake Watanzania na wadau wengine 'wa amani' wanapaswa kutambua kuwa msingi wa kuanzishwa kwa chama hicho ni kupigania demokrasia Kwa njia ya amani jambo ambalo linamaanisha uwepo wa 'mazungumzo'

Hayo yameelezwa na Kada wa chama hicho Odero Charles Odero ambapo katika maelezo yake amesema kwa sasa yeye binafsi amekuwa mstari wa mbele kuwashawishi viongozi na wanachama wa CHADEMA na Watanzania kwa ujumla wake kuanza mchakato wa maridhiano kwaajili ya kuliponya Taifa
 
Imeleezwa kuwa si sahihi kusema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na viongozi wako hawako tayari kushiriki maridhiano, badala yake Watanzania na wadau wengine 'wa amani' wanapaswa kutambua kuwa msingi wa kuanzishwa kwa chama hicho ni kupigania demokrasia Kwa njia ya amani jambo ambalo linamaanisha uwepo wa 'mazungumzo'

Hayo yameelezwa na Kada wa chama hicho Odero Charles Odero ambapo katika maelezo yake amesema kwa sasa yeye binafsi amekuwa mstari wa mbele kuwashawishi viongozi na wanachama wa CHADEMA na Watanzania kwa ujumla wake kuanza mchakato wa maridhiano kwaajili ya kuliponya Taifa
Na wakifanya madhiriano mbowe anarejea rasmi chamani
 
Imeleezwa kuwa si sahihi kusema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na viongozi wako hawako tayari kushiriki maridhiano, badala yake Watanzania na wadau wengine 'wa amani' wanapaswa kutambua kuwa msingi wa kuanzishwa kwa chama hicho ni kupigania demokrasia Kwa njia ya amani jambo ambalo linamaanisha uwepo wa 'mazungumzo'

Hayo yameelezwa na Kada wa chama hicho Odero Charles Odero ambapo katika maelezo yake amesema kwa sasa yeye binafsi amekuwa mstari wa mbele kuwashawishi viongozi na wanachama wa CHADEMA na Watanzania kwa ujumla wake kuanza mchakato wa maridhiano kwaajili ya kuliponya Taifa
....ila njaa mbaya sana ikifika kichwani......huyu ndio alikuwa anagombea uenyekiti taifa...asee hapa chadema wangejua hawajui....hapa walikuwa wanauzwa asubuhi kabisa
 
Imeleezwa kuwa si sahihi kusema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na viongozi wako hawako tayari kushiriki maridhiano, badala yake Watanzania na wadau wengine 'wa amani' wanapaswa kutambua kuwa msingi wa kuanzishwa kwa chama hicho ni kupigania demokrasia Kwa njia ya amani jambo ambalo linamaanisha uwepo wa 'mazungumzo'

Hayo yameelezwa na Kada wa chama hicho Odero Charles Odero ambapo katika maelezo yake amesema kwa sasa yeye binafsi amekuwa mstari wa mbele kuwashawishi viongozi na wanachama wa CHADEMA na Watanzania kwa ujumla wake kuanza mchakato wa maridhiano kwaajili ya kuliponya Taifa
On my way to "lamba asali"

Hapo anatuandaa kisaikolojia ili siku akihamia airtel awe na kisingizio
 
Back
Top Bottom