Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,659
- 68,625
Hallo wambea wa humu mpo?
Tupooo vipiiiii
Hallo wambea wa humu mpo?
Tuwekee na Linda tulinganishee giza na mwangaa
hawa wana nini la huyo Linda
Aaaah aaah
Eeee kwelii lakin ukiibiwaa na haka kenginee lazimaa unune au ukaroge kabisaaa
Lakini tuseme ile haki Mange sura yake mbaya laiti angepewa kama ya Sintah pasingetosha
ni kweli aise Linda katisha hana sura ya ukomavu
Hahhhhhahhhhahhhhahhhhahhhahhhahhhhahhhhahhhha team yake wakikusikiaaa heeeee
Washamba wenzie hata siwaogopi na sio kosa lao wamerogwa na CEO wao siku akili zikiwarudia watakuwa wameshachelewa
Ulikua wapiiii tulishamchambaa mpakaa wakatuandika kwenye blog yakee team ikaja humu ikaropoka ikala ban hahhhhhahhhha
Hawapataniii ila Linda Kibokoo hata akikuibia mume hukasiriki sanaa maana ni kifaaa
Eeee kwelii lakin ukiibiwaa na haka kenginee lazimaa unune au ukaroge kabisaaa