Kingmbusel
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 624
- 956
Kuna mtoto alikuwa anachezea mabutungutu ya usd ulimuona?Ally Bongo wa Gabon alitangazwa kuwa msindi wa kura za uchaguzi wa mizengwe.
Wazalendo wa nchi yao wakakataa upuuzi huo!
Sasa hapa kwetu Tanzania; nchi hii kweli imekosa kabisa wazalendo wa kukomesha ujambazi huu?
October 14 ni msingi wa maandalizi ya October 29.. Kumbuka tunataka tuziishi fikra na maono ya Hayati Mwalimu Nyerere!"---mabadiliko chanya ya kisiasa kati ya wananchi wa mataifa yote mawwili ya Tanganyika na Zanzibar"?
Mstari huu mwandishi hakuutendea haki hata kidogo, na kwa kufanya hivyo, andiko lake limekosa umakini stahiki.
Hata swala la Oktoba 14 nalo mwandishi katumia hisia tu; na matokeo yake yanaweza kuwachanganya wananchi ambao wamejiandaa kufanya kazi nzuri Oktoba 29.
Tuamue moja, Oktoba 14, au Oktoba 29? Tusiwachanganye waTanzania.
Maandamano yapohuo ndio ukweli . maandamano hayapo
Nimepita asubuhi sehemu on my way to work, Bango kubwa la wagombea wa ccm
Limechorwa na spray
Hakuna uchaguzi
October to remember!!!
Kamwe Mungu hawezi kumpa madaraka mpumbavu wa namna hii aliyejaa uongo, chuki na ubaguzi. Mtaishia hivyo hivyo kuzishazusha uongo wenu wa ajabu ajabu basi. Samia mtaendelea kumuona mtake msitakeNitaisikitikia sana nchi yetu hii kama haya yataachwa yaendelee kama yalivyo pangwa na waovu hawa!
Ni vigumu sana kuamini kuwa kweli hii ni Tanzania kunakofanyika upuuzi wa ajabu sana huu.
Mwanamke asiye kuwa na sifa zozote za uongozi; akili kichwani kiduchi kabisa; tena toka nchi jirani, ambaye hata asili yake haijulikani vizuri; anaamua kulazimisha kuwatawala watu zaidi ya milioni 60!
Katika utawala wa miaka minne, kila uchafu umeonekana; tena anafanya kama hakuna anayeweza kuhoji chochote; na watu wakihoji, anajiita chura kiziwi asisikie kelele za waTanzania wakililia raslimali zao zinazosombwa.
Huyu mtu sasa analazimisha kwa nguvu abaki madarakani ili afanye uharibifu mkubwa zaidi!
Nchi nzima hii, hakuna wa kumzuia?
Hapana. Mimi namtabilia mwisho wake. na asipokuwa mwangalifu atapoteza kila kitu hadi uhai wake.
Inasemekana ni mtoto wa kigogo mkuu wa taasisi ya maafisa vipenyo nchini.Kuna mtoto alikuwa anachezea mabutungutu ya usd ulimuona?