VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Wakuu ni dhahiri sasa tutarajie kutokuwa na kampeni kwa nafasi ya Uraisi na makamu. Wagombea vyama pinzani wataunga juhudi wengi kwa kufika bei na endapo mbishi atatolewa kwa kutokidhi vigezo.
Ushuhuda wa hili ni matamko, matendo, hukumu ya Membe kamati kuu CCM na uchaguzi uliopita serikali za mitaa.Watanzania tuamke kila mmoja kwa nafasi yake tuseme hapana, hili ni taifa letu sote haya mambo ya Kifalme sio sehemu ya utamaduni wetu.
Ushuhuda wa hili ni matamko, matendo, hukumu ya Membe kamati kuu CCM na uchaguzi uliopita serikali za mitaa.Watanzania tuamke kila mmoja kwa nafasi yake tuseme hapana, hili ni taifa letu sote haya mambo ya Kifalme sio sehemu ya utamaduni wetu.