OCCID Makambako asipoonywa ataleta madhara

Jun 10, 2017
9
9
OCCID Makambako maarufu kama Yesaya Sudi, amekuwa bingwa sana wa kuchomekea watu makosa kwa kutafuta rushwa kinguvu,jambo hili lisipoangaliwa kwa umakini litaleta vurugu kati ya wananchi na polisi, yeye ni kama mungu mtu pale, sijui ni kwann Mahakama inaweza ikatoa tamko kuwa mtu hana hatia lakini yeye akamtia tena nguvuni na kumuundia tatizo jingine.

Hakuna anaemuhitaji si polisi wenzie mpaka sisi wananchi, kiukweli tumechoshwa na tabia zake yeye kikubwa kwake ni kutafuna wanawake wa wenzie na ukionekana karibu na wanawake hao jua unakutana na majanga,asipichukuliwa hatua za mapema atasababisha vurugu..

Ni heri wangetuachia OCCID alokuwepo mwanzoni Teddy alikuwa mtenda haki sio huyu.
 
Ni wa makambako mpaka maaskari wenzie wanamchukia kwa tabia zake za umungu,kama huko mbozi alikokuwa hawakumfunza hapa siku zake zinahesabika
 
Ni wa makambako mpaka maaskari wenzie wanamchukia kwa tabia zake za umungu,kama huko mbozi alikokuwa hawakumfunza hapa siku zake zinahesabika

Wee jamaa umejiunga jf purposely kwa ajili ya kumchafua tu Sudi, mm binafsi sijaona utofauti wa tabia ya sudi na askari wengine.

Nachojua mm Sudi ni malaya just like you na mm, sudi anapenda rushwa na hiyo ni jadi ya police wote. Sudi anapenda kujikomba kwa matajiri wa Makambako na hiyo ni jadi ya police yoyote, sudi anapenda akishikilia kesi ya mtu anakomaa nayokisawasawa na ndiyo sababu kubwa ya wengi kutompenda Mk.

Nilitegemea uwataje wapuuzi kama akina Silvester wanaokesha na kushinda bar kufanya umalaya na umbea muda wote kua wahamishwe, we umekomaa na sudi.

Police wenzie hawampendi kwasababu ni mchapakazi na hataki ujinga ujinga .. unless uniambie unamtaka Rehema na unaona Sudi amekuzibia....

Wito kwa RPC na IGP, mpeni promo Sudi awe hata Ocd Makambako.......

Piga kazi Isaya ila punguza kidogooooo rushwa na umalaya brooo
 
Wee jamaa umejiunga jf purposely kwa ajili ya kumchafua tu Sudi, mm binafsi sijaona utofauti wa tabia ya sudi na askari wengine.

Nachojua mm Sudi ni malaya just like you na mm, sudi anapenda rushwa na hiyo ni jadi ya police wote. Sudi anapenda kujikomba kwa matajiri wa Makambako na hiyo ni jadi ya police yoyote, sudi anapenda akishikilia kesi ya mtu anakomaa nayokisawasawa na ndiyo sababu kubwa ya wengi kutompenda Mk.

Nilitegemea uwataje wapuuzi kama akina Silvester wanaokesha na kushinda bar kufanya umalaya na umbea muda wote kua wahamishwe, we umekomaa na sudi.

Police wenzie hawampendi kwasababu ni mchapakazi na hataki ujinga ujinga .. unless uniambie unamtaka Rehema na unaona Sudi amekuzibia....

Wito kwa RPC na IGP, mpeni promo Sudi awe hata Ocd Makambako.......

Piga kazi Isaya ila punguza kidogooooo rushwa na umalaya brooo
Daaah!!We jamaa umeuwaaaaaaa

Huyu Sudi nilishasikia sana habari zake,kuna wakati nilikuwa Makambako kikazi zaidi,akaingia anga zangu na kutaka kunibambikia kesi,sema sikutaka kuonyeshana nae ubabe sbb kazi ilikuwa imenitinga sana,ila nilimtuliza kwa siku moja tu akagwaya.

Jamaa ana tabia za hovyo sana za kutaka virushwa vya ajabu ajabu,nilitaka kumpa hela za moto nikaamua kumpa somo kwanza next time asipalamie kila mtu
 
Wee jamaa umejiunga jf purposely kwa ajili ya kumchafua tu Sudi, mm binafsi sijaona utofauti wa tabia ya sudi na askari wengine.

Nachojua mm Sudi ni malaya just like you na mm, sudi anapenda rushwa na hiyo ni jadi ya police wote. Sudi anapenda kujikomba kwa matajiri wa Makambako na hiyo ni jadi ya police yoyote, sudi anapenda akishikilia kesi ya mtu anakomaa nayokisawasawa na ndiyo sababu kubwa ya wengi kutompenda Mk.

Nilitegemea uwataje wapuuzi kama akina Silvester wanaokesha na kushinda bar kufanya umalaya na umbea muda wote kua wahamishwe, we umekomaa na sudi.

Police wenzie hawampendi kwasababu ni mchapakazi na hataki ujinga ujinga .. unless uniambie unamtaka Rehema na unaona Sudi amekuzibia....

Wito kwa RPC na IGP, mpeni promo Sudi awe hata Ocd Makambako.......

Piga kazi Isaya ila punguza kidogooooo rushwa na umalaya brooo
Mkuu wangu, unataka na yeye afe na KA-UKIMWI!? tokoshila pyee! Tokosanga manumba na mawee!
 
OCCID Makambako maarufu kama Yesaya Sudi, amekuwa bingwa sana wa kuchomekea watu makosa kwa kutafuta rushwa kinguvu,jambo hili lisipoangaliwa kwa umakini litaleta vurugu kati ya wananchi na polisi, yeye ni kama mungu mtu pale, sijui ni kwann Mahakama inaweza ikatoa tamko kuwa mtu hana hatia lakini yeye akamtia tena nguvuni na kumuundia tatizo jingine.

Hakuna anaemuhitaji si polisi wenzie mpaka sisi wananchi, kiukweli tumechoshwa na tabia zake yeye kikubwa kwake ni kutafuna wanawake wa wenzie na ukionekana karibu na wanawake hao jua unakutana na majanga,asipichukuliwa hatua za mapema atasababisha vurugu..

Ni heri wangetuachia OCCID alokuwepo mwanzoni Teddy alikuwa mtenda haki sio huyu.
Hivi OCCID ni cheo gani huko jeshi la polisi na kirefu chake ni nini? Tofauti yake na OCD ni ipi?
 
:(
Wee jamaa umejiunga jf purposely kwa ajili ya kumchafua tu Sudi, mm binafsi sijaona utofauti wa tabia ya sudi na askari wengine.

Nachojua mm Sudi ni malaya just like you na mm, sudi anapenda rushwa na hiyo ni jadi ya police wote. Sudi anapenda kujikomba kwa matajiri wa Makambako na hiyo ni jadi ya police yoyote, sudi anapenda akishikilia kesi ya mtu anakomaa nayokisawasawa na ndiyo sababu kubwa ya wengi kutompenda Mk.

Nilitegemea uwataje wapuuzi kama akina Silvester wanaokesha na kushinda bar kufanya umalaya na umbea muda wote kua wahamishwe, we umekomaa na sudi.

Police wenzie hawampendi kwasababu ni mchapakazi na hataki ujinga ujinga .. unless uniambie unamtaka Rehema na unaona Sudi amekuzibia....

Wito kwa RPC na IGP, mpeni promo Sudi awe hata Ocd Makambako.......

Piga kazi Isaya ila punguza kidogooooo rushwa na umalaya brooo
Mla rushwa na mchapakazi, duh!
 
OCCID Makambako maarufu kama Yesaya Sudi, amekuwa bingwa sana wa kuchomekea watu makosa kwa kutafuta rushwa kinguvu,jambo hili lisipoangaliwa kwa umakini litaleta vurugu kati ya wananchi na polisi, yeye ni kama mungu mtu pale, sijui ni kwann Mahakama inaweza ikatoa tamko kuwa mtu hana hatia lakini yeye akamtia tena nguvuni na kumuundia tatizo jingine.

Hakuna anaemuhitaji si polisi wenzie mpaka sisi wananchi, kiukweli tumechoshwa na tabia zake yeye kikubwa kwake ni kutafuna wanawake wa wenzie na ukionekana karibu na wanawake hao jua unakutana na majanga,asipichukuliwa hatua za mapema atasababisha vurugu..

Ni heri wangetuachia OCCID alokuwepo mwanzoni Teddy alikuwa mtenda haki sio huyu.
OCID hachaguliwi bali anateuliwa. Kama kuna tatizo lolote lile ninadhani ungeliwasilisha kwa RPC au IGP maana simu zao zinajulika.
 
Daaah!!We jamaa umeuwaaaaaaa

Huyu Sudi nilishasikia sana habari zake,kuna wakati nilikuwa Makambako kikazi zaidi,akaingia anga zangu na kutaka kunibambikia kesi,sema sikutaka kuonyeshana nae ubabe sbb kazi ilikuwa imenitinga sana,ila nilimtuliza kwa siku moja tu akagwaya.

Jamaa ana tabia za hovyo sana za kutaka virushwa vya ajabu ajabu,nilitaka kumpa hela za moto nikaamua kumpa somo kwanza next time asipalamie kila mtu
Daaah!!We jamaa umeuwaaaaaaa

Huyu Sudi nilishasikia sana habari zake,kuna wakati nilikuwa Makambako kikazi zaidi,akaingia anga zangu na kutaka kunibambikia kesi,sema sikutaka kuonyeshana nae ubabe sbb kazi ilikuwa imenitinga sana,ila nilimtuliza kwa siku moja tu akagwaya.

Jamaa ana tabia za hovyo sana za kutaka virushwa vya ajabu ajabu,nilitaka kumpa hela za moto nikaamua kumpa somo kwanza next time asipalamie kila mtu

unachosema ni kweli mkuu..mm mwenyewe napita sana makambako na namfahamu vizuuri. videmu vipolisi vikinnyima kidudu anawaekea gubu na kuwanyanyasa.

kwa rushwa kwakweli ni tatizo, kamsababisha hadi askari mmoja anaitwa zacharia kafukuzwa kazi elhali mchongo ulikua wa sudi ..
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom