Obama visit in Kenya

One good thing done by Paulo was to tell the zombies that a human being is God incarnate. What about that?

:becky:
It is a madman who said a fictitious deity of Arabia is God. In fact, after said madman died, Allah never spoke to humans.
 

Ni faida na neema kubwa kwa kenya, huwa wanacompasite cost na watajifunza kuhusu gharama za ulinzi na usalama pia.
 
Ina maana hata presidential guard wasimsogele Kenyata zaidi ya ADC na Secretary...?....asee hii kiboko..Kenya itatawaliwa kwa muda

Alipokuja tz ilikuwaje? Wengine tupo bush, nokia za tochi.
 

Wakati huo ugaidi ulikuwaje? We ndo wale mnaojidai ohoo mimi sitaki computer inapoteza kumbukumbu kwa sababu ya virusi, najaza logbook na mafaili ya Ngalawa ofisini, mwehu nini?
 
Mwehu baba yako na mama yako.

Wakati huo ugaidi ulikuwaje? We ndo wale mnaojidai ohoo mimi sitaki computer inapoteza kumbukumbu kwa sababu ya virusi, najaza logbook na mafaili ya Ngalawa ofisini, mwehu nini?
 
Nimecheka kweli hii ya Somalia
 
Uzi ukishaingiliwa na mtu flani ivi haufai tena
 
ila wakenya mahali waliponiacha hoi ni pale walipoweka siku ya mapumziko baada ya Obama kushinda urais wakati wamarekani wenyewe walikuwa wanachapa kazi kama kawaida eti wanasema Kenya inaitawala marekani hahahahha!
 
It is a madman who said a fictitious deity of Arabia is God. In fact, after said madman died, Allah never spoke to humans.
The Paulo incarnate is speaking! Kipovu.

What is ficticious is to worship a human god based on Pauline fictitious writings. The human god who worshipped another God did not know that he would be a fictitious god for Ishmael cult which is best known for eating the flesh and drinking the blood ya bwana as main dish and damu ya bwana na kitimoto kama kipozeo.
 
Is to worship a non living deity. A deity who died with his prophet.

Can you tell me, Why is Allah silence? He never said anything after the death of Muhammad? Is there any reason? Muhammad died with Allah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…