Obama na waandishi wa habari;Mkutano wake wa mwisho akiwa raisi wa Marekani.

Ng'wanamangilingili

JF-Expert Member
Aug 22, 2015
5,705
4,739
d19669af61b7807fb8ab1087f4179ff7.jpg
 
Hapo ndo utaona tofauti kati ya mtawala na kiongozi

Hivi ingetokea Dr. wa Chatto arushiwe Kiatu na Mwandishi Mwenye hasira kwny Press conference ya Kuzungumzia Bombadier na Watumishi hewa Kama Bush kule Baghdad Iraq sijui nini kingefuatankwa Yule Mwandishi kwa Fyoko fyoko yake ?

Nadhani angechunwa Korodani bila ya Ganzi
 
Ben Carson anachukua after 4 years!
I don't knw wht happened to him, maana ni kama alipoteza mvuto ghafla tu kwenye huu uchaguzi.

Ila jamaa angeweza shinda kama kungekuwa na mkakati thabiti.

Badala ya mama clinton, wangefocus kwa ben,

(sema hakuwa kile chama)
 
Back
Top Bottom