Obama kulipua Bomu kubwa kuliko!

Obama kulipua Bomu kubwa kuliko!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Kaeni mkao wa kula, Raisi wa USA Barack Obama ataushangaza Ulimwengu siku siyo nyingi kabla ya kumaliza muda wake wa Uraisi, makamu wake wa Raisi Joe Biden ameshaanza Obama atamalizia, baada ya tukio la kulia hadharani jambo ambalo halijawahi kufanywa Raisi na Amiri Jeshi Mkuu yoyote yule wa nchi hiyo, sasa atalipua kubwa kuliko na atakachokifanya hamtaamini ... subirini muone huyu hawezi kuondoka hivi hivi!

Obama akilia live Ikulu!
obama-cries.png
 
DONALD TRUMP NDO MAANA ANAWAITA MASHETANI
 
Mbona keshalipua tayari..!

Kasema " Triump never"
 
America iko ilivyo kwa sababu haina watu wapuuzi kama Barbarosa ,Mzee Khan ambaye ni muslim amewauliza mnaelewa maana ya LIBERTY? huyo Trump ana akili kama za waafrica tuu mje mumchukue awatawale ila US uraisi atausikia tuu
 
America iko ilivyo kwa sababu haina watu wapuuzi kama Barbarosa ,Mzee Khan ambaye ni muslim amewauliza mnaelewa maana ya LIBERTY? huyo Trump ana akili kama za waafrica tuu mje mumchukue awatawale ila US uraisi atausikia tuu


Hahah wewe na huyo Mwarabu wako sijui Khana ndiyo akili klk Wazungu middle class na upper middle class wote ambao ndiyo masapota wakubwa wa D.Trump?
Ben Carson huyu ni neorosurgeon wa kuheshimka USA na Duniani kote ambaye ni mweusi kama mimi ni sapota mkubwa wa D.Trump!

 
America iko ilivyo kwa sababu haina watu wapuuzi kama Barbarosa ,Mzee Khan ambaye ni muslim amewauliza mnaelewa maana ya LIBERTY? huyo Trump ana akili kama za waafrica tuu mje mumchukue awatawale ila US uraisi atausikia tuu
paul-kagame-time-picture.jpg
UKIONA WENZIO WANANYOLEWA, WEKA MAJI KICHWANI MTANI WANGU!
 
Will you smoke with me Da Vinci ? ... Well, that depends on whats in the pipe.
History is a lie
 
Ushauri yao wenyewe mie siwashobokei kabisa hao wazungu.
1.Tanzania
2.Tanzania
3.Tanzania
Nalog off
 
Ushauri yao wenyewe mie siwashobokei kabisa hao wazungu.
1.Tanzania
2.Tanzania
3.Tanzania
Nalog off
 
Ushauri yao wenyewe mie siwashobokei kabisa hao wazungu.
1.Tanzania
2.Tanzania
3.Tanzania
Nalog off
 
Back
Top Bottom