Obama kaalikwa au kaalika?

Obama kaalikwa au kaalika?

Marire

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
12,333
Reaction score
5,312
Hapo obama kakaa kalio moja kwanini?kama ana hofu hivi....
 

Attachments

  • 1435250437199.jpg
    1435250437199.jpg
    18.6 KB · Views: 2,496
Tuwekee na picha ya lowasa akiwa anarembua
 
Labda amekaa chonjo kwa kuziogopa hizo ninihii...
 
Kwani mama yake YESU maria alivaa mini skirt? mbona hata ile sanamu yake makanisani haina MINI
 
Futari ni tamu, huoni anachekelea viazi vitamu kwa chai ya iliki??
 
attachment.php

Jamani mimi ndio naona visivyo,
mbona jamaa kakaa vizuri na anakung'uta msosi kisawasawa
angekaa meza ingie ya Wazungu wangelaumu
angevaa kibaragashehe maneno
 
Ikulu ya marekani ina christmas tree mkubwa na unahudumiwa na hela za serikali. Yawezekana hapo mwanzoni marekani waislam hawakuwepo kwani wangekuwepo kwa jinsi walivyo washari wangepinga vibaya mno.
 
Ikulu ya marekani ina christmas tree mkubwa na unahudumiwa na hela za serikali. Yawezekana hapo mwanzoni marekani waislam hawakuwepo kwani wangekuwepo kwa jinsi walivyo washari wangepinga vibaya mno.

Yametoka wap hayo waulizwa kunde wajib maharage loooooo
 
Hawa Viumbe Ukikaa Nao Karibu Huwezi Kua Na Amani Kwasababu Hawatabiriki.Uwa Hawachelewi Kubeba Maguruneti Viunoni.
Ni Bora Ya Nyoka Anaweza Kua Rafiki Wa Wanadamu Kuliko Hawa Viumbe.Maisha Yamekua Ya Mashaka Kwa Ajili Ya Hawa Viumbe.Inapendeza Vikaishi Sayari Ya Peke Yao.
 
Mbona mnakuwa wa wabaguzi sana nyinyi
 
Mbona mnakuwa wa wabaguzi sana nyinyi

Nyie Viumbe Ni Shida.Akili Zenu Ziko Nyuma Zinaning'inia Km Makalio.Kuishi Na Nyie Viumbe Inataka Moyo Sana.Unatakiwa Uwe Na Roho Kama Ya Mwendawazimu.Mpo Kama Zigo La Mavi Halibebeki!
 
Back
Top Bottom