hahaah! angalia aliokaa nao.Hapo obama kakaa tako moja kwanini?kama ana hofu hivi....
Tuwekee na picha ya lowasa akiwa anarembua
Labda amekaa chonjo kwa kuziogopa hizo ninihii...
Labda amekaa chonjo kwa kuziogopa hizo ninihii...
Kwani mama yake YESU maria alivaa mini skirt? mbona hata ile sanamu yake makanisani haina MINI
Ikulu ya marekani ina christmas tree mkubwa na unahudumiwa na hela za serikali. Yawezekana hapo mwanzoni marekani waislam hawakuwepo kwani wangekuwepo kwa jinsi walivyo washari wangepinga vibaya mno.
Mbona mnakuwa wa wabaguzi sana nyinyi