Smatta
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 2,350
- 730
Kawalambisha halafu akachomoa. Kweli huyo ni wa Illinois. Wakenya hivi sasa naona bado hawajamwelewa mkuu BO.
Kale ka ndoto ka Kenya kuwa jimbo, kama Puerto Rico, sijui kama bado kanaendelea kukua ndani yao. lol
KANDOTO KAGANI mAX, WACHA ZAKO. Obama was celebrated by everyone, sasa hapa wajifanya eti ni wakenya pekee yake ambao walimwita Obama ni wao,? sare zaa hizo.