Oa mwanamke mwenye elimu

Oa mwanamke mwenye akili achana na elimu. Elimu kila mwanamke anayo ila akili wengi hawana

Shauri yenu vijana.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Elimu na kwenda shule.
Mtu anaweza kwenda shule na asiwe na Elimu vilevile mtu anaweza asiende shule na akawa na Elimu.
Nadhani wewe unaongelea kwenda shule na sio Elimu.
Education is the private matter btn the world of knowledge and experience and has little to do with school and college
 
Nimeipenda sana hii line.

Nimeisoma nikiwa natabasamu huku taswira ya mama yangu ikinijia kichwani,Mungu aendelee kuwalinda mama zetu.
 
Kuna ule upumbavu wa ndani/tabia ya mtu huwa hauondoki hata kwa elimu ndio maana unaweza kutana na mtu msomi lakini anayoyafanya utastaajabu ni upuuzi mtupu hata mtu ambae hakufika shule ana afadhali.

Akili ya Maisha haifundishwi shule na hiki kinafanya mzani ubalansi. Nakubaliana nawe malezi nayo huchangia kwa kiasi kikubwa utimamu wa mtu.
 
100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…