Kabisa!!!Mambo yamebadilika malezi Yamekuwa magumu Sana Kwa watoto wa kizazi hiki ni kweli ni muhimu kuangalia mtu wa kuzaa nae sio tu mwanamke hata mwanaume ulikosea step ndo umeangamia mazima maana uzao ukishakuwa wako haibadilishiki
[emoji3][emoji3] hao nao watapata size yao mkuuWalioishia la 7A wataolewa na nani ??
Ringa tena sanaKwahiyo wenye elimu tuanze kuringa au ndo mapema mno?
Ninayowapi😤Ringa tena sana
To yeye sister mwenye ushauri mzuri nadhani hauna chembe ya kuringaaKwahiyo wenye elimu tuanze kuringa au ndo mapema mno?
Na sijawahi mkuuTo yeye sister mwenye ushauri mzuri nadhani hauna chembe ya kuringaa
Ni kweli lakini at least anakuwa ana kitu flani kichwani tofauti na ambaye hajafika kabisaMtu wakuzaa nae watoto lazima achaguliwe kwa umakini, bila hivyo unaweza juta sana mbeleni.
Ila kufika Form 4 sio kigezo maana hata kilaza anaweza akafika.
Nilitamani nikuonyeshe mama fulani amezaa na wanaume watatu wote professionals !!! kuna injinia, daktari na mwanasheria na akafanikiwa kuzaa watoto na kila mmoja wa hao wanaume watoto wote walisoma na wa mwisho kisomi ni daktari.At least awe amefika form four..narudia tena at least awe amefika form four.
As far as unajali future ya watoto wako,oa mwanamke mwenye elimu.
Usiwe mbinafsi kwa kutazama vigezo vyako kingono tu.
Oa mama wa watoto wako,
Kumbuka jinsi mke wako alivo ndio hivo pia watoto wako watakuwa.
Watoto wanarithi akili kwa mama yao ,naongea hili with experience.
Ni ushauri
[emoji817] sureUkweli mchungu huu ila kwangu mimi angalau diploma ndio minimum ili wakati tunabishana ndani tunabishana kweli na mtu
Unakuta phd holder unabishana na watoto waliokimbia shule!!! Yaani darasa la saba !!!
Lessoning capacity ya Mwanamke ni muhimu Sana kwenye ndoa.
Acha lasaba waonae wao kwa wao!!!
Ikiwa hujasomaAt least awe amefika form four..narudia tena at least awe amefika form four.
As far as unajali future ya watoto wako,oa mwanamke mwenye elimu.
Usiwe mbinafsi kwa kutazama vigezo vyako kingono tu.
Oa mama wa watoto wako,
Kumbuka jinsi mke wako alivo ndio hivo pia watoto wako watakuwa.
Watoto wanarithi akili kwa mama yao ,naongea hili with experience.
Ni ushauri
Nahisi alimaanisha 'reasoning'Unamaanisha?
Kama ndugu hawamfurahii huoi! Kwahiyo mpaka ndugu wampende!Oa ambaye sio malaya sio mwizi sio mchoyo..anapendeka kiurahisi na watu kama ndugu akikaa nao wanamfurahia
Sure lakini ni wachache sana sanaKuwa na akili siyo lazima afike walau kidato cha nne.
Kuna wenye akili, kuwazidi wanachuo wenu wa BRN, na hawajakanyaga shule.