O . M . G

Huree!!. Huyo Bull ameshindwa kushika break kwa hiyo lazima akanywe maji..
 
kimbia fasta toka nduki we kimbia ukianguka ukiumia amka vumilia mbele ya uhai nitafungua turbo hapo mpk huyo bull atabak kushangaaa
 
ha haaaaaaaaa, uwiiiiiii jamani eeh
 
ndiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiifwa neeene....................
 
Nini kazi ya mabaunsa hapo? Wanangoja nini? Wamzuwie huyo hayawani.
 
mavi debe...hapo,israili mtoa roho unamuona live
 
jamaa mbona kama anakimbia juu ya maji......... kifo kweli hatari
 
huu nimchezo tu, ndo sababu pembeni unawaona washabiki wametulia wanshuudia what is going on, its very fun.
 
Holly crap! Tha angel of death is callin him.
 
Mmmh!! Inatisha hata kama ni mchezo..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…