nipo nzega kikazi,baada ya kumaliza shughuli zangu jioni hii nimepita hapa uwanja wa parking ambapo dr slaa amekua akihutubia mkutano
Umati wa watu ulikua mkubwa sana kuwahi kutokea hivi karibuni hapa nzega..Kwa kifupi dr amendelea kiuvua ccm nguo kwa kuanika uozo zaidi kwenye serikali yake na kutoa elimu ya uraia kwa wananchi hasa katika kudai haki zao. Kwa hali ya mwitikio mkubwa kiasi hiki inaonekani kila atakayetaka kipinga cdm kwa njia kizamani pasipo hoja zenye nguvu atakua na wakati mgumu..kwani inaonekana pamoja na njia hizo kutumika bado hazijaweza kuteteresha hata kdg imani ya wananchi kwa cdm ...jioni njema wakubwa.
Umati wa watu ulikua mkubwa sana kuwahi kutokea hivi karibuni hapa nzega..Kwa kifupi dr amendelea kiuvua ccm nguo kwa kuanika uozo zaidi kwenye serikali yake na kutoa elimu ya uraia kwa wananchi hasa katika kudai haki zao. Kwa hali ya mwitikio mkubwa kiasi hiki inaonekani kila atakayetaka kipinga cdm kwa njia kizamani pasipo hoja zenye nguvu atakua na wakati mgumu..kwani inaonekana pamoja na njia hizo kutumika bado hazijaweza kuteteresha hata kdg imani ya wananchi kwa cdm ...jioni njema wakubwa.