Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,391
- 8,294
Mabatini Mwanza hapo kwa kina charminglady..
Hata kama nyumbani ni nyumbani..hapo chini ya jiwe kuna usalama kweli
hapo nakupeleka kama surprise nimekufunga kitambaa usoni alafu asubuhi ukiamka ndio unaona ulipolala :happy:
haaaa umeniacha hoi mdogo wangu,hivi hujamlandisha mwanangu mmoja kweli huo uoga?Mimi mzima my dada..yani ni muoga haswa..hapo sitalala nitakuwa naliwaza jiwe tu..
haaaa umeniacha hoi mdogo wangu,hivi hujamlandisha mwanangu mmoja kweli huo uoga?
Mwe inawezekana.....majuzi hapo tulikuwa tunaenda ifakara..sasa kufika mikumi dereva akawa bado yuko speed mh nikawaza nawaza hv hapa mnyama akitokea barabarani inakuwaje...yani sijamaliza kuwaza wakatokea tembo wanavuka barabarani...yani acha nilipiga kelele basi zima mpaka wakanishangaa......
uwiiiiiii mdogo wangu unazidi kuniacha hoi daaahhhh ulitisha aisee naona uliwaacha watu mdomo wazi?sasa nini kiliendelea baada ya hapo?
ah walinishangaa...wakawa wanasema wew dada muoga sana...hivi hata labor utaingia kweli kwa uoga huo...ah ndo ikawa topic kwenye gari...sikuwajibu nilinyamaza kimya nikaweka earphone zangu nikawa nasikiliza music...