Nyumbani kwetu Kilombero

Nyumbani kwetu Kilombero

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,639
2c629ad5178b10bd14519a9fbca96b6c.jpg

Sanje hiyooooo   


My Edward Lowassa akifanya kampeni mwaka 2015 KILOMBERO viwanja vya Temu karibu na benki ya NMB
244717e48d201a62d9cda18f45e4a88b.jpg



Kiwanda Cha sukari Cha KILOMBERO maarufu Kama K2
a5963f059473495ddb0646f0a34206dc.jpg



Usafiri maeneo ya Nyange,Msolwa na Mang'ula
4beb71f96e483d15ee30f214cad3fc5e.jpg



Hoteli za misosi hasa vijijiji
09308fc37095df834fa76a6c491d2c5f.jpg



Sheli za mafuta za vijijini
1d71c386f65a4cf0f8c5a23bcbaea288.jpg



Nikielekea kuziba pancha.
61d5c032b26ff3fb244d7a97de1e3ddf.jpg



Safu a milima ya Udzungwa
5c72a8d44d8f1bbd54fd75aaf79440cd.jpg




Daraja la mto Ruaha Mkuu
b78507a46a18cfff95d784032cc0b506.jpg

f90a976dfd4bb3d9b378f577d15a667e.jpg

6a20d0aca83bcfd2469bc8c3ff61fbc8.jpg



Hili daraja limejingwa mwaka 1932 na makaburu.
43305d01cd8a204416273ec07f0a2636.jpg
 
Miaka ya 90's nilikuwa maeneo ya Mang'ula B tulikuwa tunaenda kucheza mechi za mpira wa miguu Mang'ula A. Ila sasa hivi hata ramani za huko sizikumbuki.

Nimeishi sana kijiji kimoja hivi kinaitwa msalise na nilianza dara la kwanza huko msalise shule ya msingi mwaka 1992.
 
Hilo daraja mbona kama mteremko wake mkali sana ni salam kweli?
 
Back
Top Bottom