GE2025 Nyumbani kumenoga, waliosepa kwenda CHAUMMA wamerudi CHADEMA!

GE2025 Nyumbani kumenoga, waliosepa kwenda CHAUMMA wamerudi CHADEMA!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,608
Waliondoka CHADEMA sasa hivi wamerejea tena….. 🤣

Baadhi ya wanachama wa chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) ambao awali walikuwa CHADEMA wamejivua uanachama wa chama hicho kutokana na changamoto kadhaa, ikiwemo unyanyasaji dhidi ya wanawake, uongo na ahadi hewa ya kupewa mikopo.


 
Waliondoka CHADEMA sasa hivi wamerejea tena….. 🤣

Baadhi ya wanachama wa chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) ambao awali walikuwa CHADEMA wamejivua uanachama wa chama hicho kutokana na changamoto kadhaa, ikiwemo unyanyasaji dhidi ya wanawake, uongo na ahadi hewa ya kupewa
zote hizo ni takataka
 
Chadema hizi siasa ni za 2015 to 2020.ninyi mnafanya leo.mko nyuma sana na muda
 
Cdm wafanye huo upuuzi wakati hata hela ya kuendesha ofisi hawana? Wangekuwa wanashiriki huu uchaguzi wa kipuuzi ungeweza kusema ni ili wapate wapiga kura. Kwa sasa wafanye hivyo ili wapate nini?
Ni mjinga huyo. Ukweli ni kwamba CHAUMMA ni project iliyofeli mno mno. Samia na genge lake hawana akili na hawajui namna ya kufanya mambo kwa akili. Hata mradi wa Zitto na chama chake mwisho wake utakuwa mbaya sana. Nawahurumia sana wazenji wameingizwa kingi na ule upinzani wao wa kweli umeisha wote, wamebaki wapenda vyeo tu.
 
Ni mjinga huyo. Ukweli ni kwamba CHAUMMA ni project iliyofeli mno mno. Samia na genge lake hawana akili na hawajui namna ya kufanya mambo kwa akili. Hata mradi wa Zitto na chama chake mwisho wake utakuwa mbaya sana. Nawahurumia sana wazenji wameingizwa kingi na ule upinzani wao wa kweli umeisha wote, wamebaki wapenda vyeo tu.
Wote tunafahamu hapa JF yeyote anayepinga Chadema ni mpuuzi, hana akili, ni taka taka: acheni hizo, kila mtu ana mawazo na maoni yake. Huwezi pendwa na kila mtu kama Sukari na Huwezi chukiwa na wote kama mavi
 
Waliondoka CHADEMA sasa hivi wamerejea tena….. 🤣

Baadhi ya wanachama wa chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) ambao awali walikuwa CHADEMA wamejivua uanachama wa chama hicho kutokana na changamoto kadhaa, ikiwemo unyanyasaji dhidi ya wanawake, uongo na ahadi hewa ya kupewa
 

Attachments

  • VID_20250714_051219_436.mp4
    16.5 MB
Waliondoka CHADEMA sasa hivi wamerejea tena….. 🤣

Baadhi ya wanachama wa chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) ambao awali walikuwa CHADEMA wamejivua uanachama wa chama hicho kutokana na changamoto kadhaa, ikiwemo unyanyasaji dhidi ya wanawake, uongo na ahadi hewa ya kupewa
Hahhaah
 
Ni mjinga huyo. Ukweli ni kwamba CHAUMMA ni project iliyofeli mno mno. Samia na genge lake hawana akili na hawajui namna ya kufanya mambo kwa akili. Hata mradi wa Zitto na chama chake mwisho wake utakuwa mbaya sana. Nawahurumia sana wazenji wameingizwa kingi na ule upinzani wao wa kweli umeisha wote, wamebaki wapenda vyeo tu.
Nyi wangese mna visukununu!.. fanyeni yenu ya nrne achaneni na wenzenu
 
Ila bongo mashabiki wa siasa wengi ni njaa sana...

Niliwasikiliza baadhi ya madai ya wanachama wa chaumma wakivua tisheti zao kuonesha kuwa wanarejea chadema, madai yao makubwa ni kutothaminiwa na kukosa mikopo waliyoahidiwa...

Yaani hapo si unagundua kabisa ni njaa ndio iliyowafanya waondoke chadema...
 
Mama anakaribia kupita bila kupingwa
 
Nilisema kwenye huu uzi
 
CHAUMMA MATAPELI YA KISIASA.. Genge la WAHUNI.
 
Chadema kama WAMESHAWAPOKEA hawa mamluki/njaa kali,WASIWAPE nafasi yoyote ya uongozi wala ujumbe wa kamati yoyote,wasishiriki vikao vyovyote vya chama,wawe wanachama wa kawaida tu.(SIO WA KUWAAMINI ,sio.Loyol.
Hawakupaswa kurudi chadema,walipaswa wahamie vyama vingine.
 
Back
Top Bottom