Nyumba zinapangishwa mbezi

Ndani safi, nje dah!...vumbi tupu! Tuwe tunaweka mazingira yenye kuvutia basi wakuu ili kuongeza thamani ya nyumba na mazingira bora ya kuishi....au MAJI UTATA!!!

usihofu ntazitupia humu
 


kwenye corridor kwa ndani, as perfect as it is!!! KARIBUNI haina dalali
 

imebaki moja wadau wenye nia ya dhati. You wont regret having it!!!
Karibuni
 

nyumba bado ipo, Tshs 200,000 kwa mwezi.bado ipo
 
Ndani safi, nje dah!...vumbi tupu! Tuwe tunaweka mazingira yenye kuvutia basi wakuu ili kuongeza thamani ya nyumba na mazingira bora ya kuishi....au MAJI UTATA!!!

Ndo Makabe palivyo kaka.
Tehe tehe tehe tehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…