Nyumba zinapangishwa mbezi

The wan

Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
37
Reaction score
2


maelezo: Iko ndani ya fensi, ina vyumba viwili, sebule, jiko la ndani na choo cha ndani.ina sakafu ya tiles, madirisha ya aluminium. Kuna tenki kubwa la maji ndani la lita 10,000, maji si tatizo. Usalama ni mkubwa, iko pahali tulivu kabisa.parking ipo na kubwa. Ni mpya.

Mahali : Mbezi makabe kwa mzungu, unashukia mbezi mwisho na kuingia ndani kiasi.

Piga simu na. +255 653 777 655, +255 652 752 032 , +255 762 986 611

 
mhh huyu dalali anadanganya watu...maji sio tatizo????makabe maji yamefika lini???
 
bei ni Tshs 200,000/= kwa mwezi kwa miezi sita.mahali ni mbezi ya kimara, unashukia kituo kinaitwa mbezi mwisho unaingia ndani km 2.5 na dala dala zipo kutokea hapo mbezi mwisho na unashukia "makabe kwa mzungu". my hope I made it so clear,ni pm kama upo interested seriously.
 
bei ni Tshs 200,000/= kwa mwezi kwa miezi sita
 
kuna tenki kubwa la maji lita 10,000 ambalo hujazwa na mvua kutokana na system ya maji ilivyo. kwa matumizi ya kawaida hukaa sana
 
bei ni Tshs 200,000/= kwa mwezi kwa miezi sita.
 
sio msakuzi, ni mbezi makabe "kwa mzungu" km 2.5 kutoka kituo cha mbezi mwisho
 
mheshimiwa dalali at work!

muwe mnalipa basi hata commission hapa Jf kwa matangazo yenu, mbona nyie hamumpeleki mteja kuoina nyumba hadi "awafungue miguu"? eti wengine mnaita hela ya usumbufu, usumbufu wakati ndiyo kazi yako! huo ndio wizi wa mchana kweupe!

hahahaaa

umenikumbusha enzi nikiwa napanga. ikiisha hiyo kjiezi 6 ilikuwa kizunguzungu kwelikweli, mwenye nyumba alikuwa anabip kila baada ya sekunde 2! maisha ya kupanga bongo sitakaa nitamani tena. all the best kwa ambao hamjajenga vibanda dsm, mali hiyo live!

chamngamkieni!!
 

haina dalali, mimi ni muhusika wa hiyo nyumba.hamna middleman hapa so no need to worry here atlast. wenye nia ya dhati kupanga karibuni
 
wewe kumbe hujamsikiliza january makamba na hoja binafsi

hizo ni changamoto ndugu, kulipa kila mwezi kodi inasaidia kuondoa usumbufu kwa wote, anayepanga na anayepangisha
 

nyumba haina dalali, served on a first come basis. KARIBUNI
 
PICHA ZAIDI.....

1. hapa zinavyoonekana kwa nje kutokea barabarani kwa upande wa kulia na kushoto.


2. hapa ni kwa muonekano ndani ya geti.


(kwenye hilo bomba ni karo la maji safi yanayojazwa na mvua kupitia mfumo maalumu wa kuyateka maji na kujaza kwenye hilo karo safi. Lina zaidi ya lita 10,000 likiwa limejaa kabisa. Husaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza adha ya maji iliyopo maeneo haya. Maji hukaa muda mrefu sana kwa matumizi ya kawaida nyumbani)

3. hapa ni muonekano wa ndani ya nyumba.


  • nyumba haina dalali
  • ni mpya ndo zimejengwa
  • bei ni Tshs 200,000 kwa mwezi
  • ina private parking kubwa na ni salama
  • KARIBUNI wenye nia ya dhati,hali ya nyumba ni kama picha hapo juu zinavyojieleza(samahani zingine hazionekani vizuri sana)
 

Attachments

  • Image0024.jpg
    554.1 KB · Views: 57
  • Image0028.jpg
    528.6 KB · Views: 63
  • Image0038.jpg
    147.2 KB · Views: 66
Ndani safi, nje dah!...vumbi tupu! Tuwe tunaweka mazingira yenye kuvutia basi wakuu ili kuongeza thamani ya nyumba na mazingira bora ya kuishi....au MAJI UTATA!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…