Nyumba za wachungaji vs nyumba za waumini

Uongo mkubwa sio kweli hkna maskini mwenye uwezo,wa kumjengea mchngj nyumba ya kiasi hicho.
Hakuna uwiano kbsa.
 
kuna mtu anaguswa mfukoni; si wanatoa kwa hiari yao?

ngoja watoe ili neno lizidi kuhubiriwa na hatimaye mioyo migumu ipondeke na ufakme utawale!!

HABERA URYA!

sema AMINA! ye mgabo
Bila kutoa pesa neno halitoki ?...., alafu kama robo tatu ya misa inatumika kuhamasisha watu watoe pesa na sio kuwapa chakula cha roho hapo tunakuwa tumeingiza ya Kaisari pasipohusika
 
Wajinga ndiyo waliwao Mkuu. Gwajima miaka michache tu iliyopita alikuwa hohe hahe kawafuma wajinga wake sasa ni bilionea! Na mifano iko chungu nzima katika nchi nyingi duniani.
Unahakika anatajirika kwa hiyo pesa ya wajinga pekeyake?hukumbuki alitajwa na Mwanamfalme kwamba nimmoja wa dealers?... Ila yule Bulldozer ndie anawaburuza wajinga pale Kawe ...
 
Toa Ubarikiwe
Pastor Kulia Anasema Wazi Wazi Ukitoa Yeye Anakula
 
 
Mito inapeleka maji ziwani/baharini. Hiyo ni kawaida wala hakuna cha kushsngaa hapo.

Kama muumbaji aliumba hivyo wewe unawezaje kutengua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…