Nyumba ya yenye vyumba vitatu vinauzwa,

Nyumba ya yenye vyumba vitatu vinauzwa,

elibarikimollel310

Senior Member
Joined
Oct 9, 2017
Posts
136
Reaction score
101
Kuna nyumba ina room tatu mbili zimeelekea barabarani za biashara na kimoja cha kuishi viko arusha maeneo ya mianzini Kwa mawasiliano call me 0621068338,
 
Weka bei mambo ya nyumba nzuri ni yako,,mi natska on nunue nivunje nijenge banda LA kuku
 
Tupia kapicha sasa, usiisifie tu.

Na hiyo id ni yako pia?
I hii hapa .
 
Ngoja nimpe hizi namba Dr lui aje azinunue kwa milioni 800
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom