[emoji40] good time!sawa lovely mom ila ujumbe umefika, hapo ni kiwanja kinauzwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenifurahisha.Unafikiri kila mtu baharia kama wewe
Mkuu tuheshimiane tusivunjiane heshima Mimi sio baharia , Mimi mtu kubwa sanaUnafikiri kila mtu baharia kama wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ilooooMkuu tuheshimiane tusivunjiane heshima Mimi sio baharia , Mimi mtu kubwa sana
[emoji28]Jina lenyewe kibwenzi![emoji57] [emoji57]
Bei gani mkuuNyumba ipo maeneo ya Chamwino mwishoni karibu na Modeko.
Ina vyumba 11 kwa ajili ya kupangisha.
Ina hati na kiwanja kimepimwa, maji na umeme vipo na havikatiki 24hrs maana line yake inatumia line ya jeshi!
Price 30m
Mawasiliano
0762 835 700
0656 475 081
Samahanini,![]()
![]()
sihitaji dalali mimi ndo muuzaji![]()
Karibuni!
Mtu wa dizain hii ukute hata kiwanja hana na kapanga chumba kimija uswaziAcha dharau[emoji57] watu km ndiyo walewale 900 itapendeza fyuu km umeona ni gofu si unyamaze amekwambia umwambie hovyooo "eti kila la kheri" [emoji15] unafki mtupu!.