Dadio
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 359
- 42
Kuna nyumba mbili zinapangishwa maeneo ya savei dk 5 toka mliman city. Nyumba moja ina vyumba viwili na sebule choo na sehemu ya kupikia. Kodi 250,000/- kwa mwezi na nyingne ni chumba na sebule jiko na choo chake bei yake ni 170,000/= maji yapo 24/7 gari zinafika had kwako. Hakuna dalali unaliipa bei hyo moja kwa moja kwangu. 0713401812